Biashara ya kubadili Shilling kwa Dola

Biashara ya kubadili Shilling kwa Dola

Duuuuh. Umetisha mkuu. Ndio maana nakwambia kuna watu through this business wanachota hela na viroba !! Kuna some secret codes behind this business which only a few elite know.
Ila what if mtu ukiwa na bank accounts katika nchi tofauti tofauti specially for running such a business ?? Will it work ??
Hilo linaweza kuwa wazo zuri.
Mnakuwa vichwa viwili - kimoja kinakuwa nchi za nje (mfano South Africa), kingine kinabaki hapa Tz; kazi yenu inakuwa kwenda bank unavuta pesa au unatuma pesa na kwenda ktk Bureau de Change (au bank humo humo) unauza.
Baada ya siku 90 jamaa aliyepo Bondeni anarudi Bongo na aliyekuwa Bongo anaenda Bondeni - mchezo unaendelea.
Katika 50,000,000 mnaingiza hata 2,000,000 kwa siku!

Labda, just thinking aloud!
 
Hilo linaweza kuwa wazo zuri.
Mnakuwa vichwa viwili - kimoja kinakuwa nchi za nje (mfano South Africa), kingine kinabaki hapa Tz; kazi yenu inakuwa kwenda bank unavuta pesa au unatuma pesa na kwenda ktk Bureau de Change (au bank humo humo) unauza.
Baada ya siku 90 jamaa aliyepo Bondeni anarudi Bongo na aliyekuwa Bongo anaenda Bondeni - mchezo unaendelea.
Katika 50,000,000 mnaingiza hata 2,000,000 kwa siku!

Labda, just thinking aloud!

Utamu wa hii biashara unakuja pale unapokua na businesses in more than one country (Multi-national) i.e UK, US, South Africa & TZ. Ukijipanga kufanya hiyo michezo unavuta hela nzuri tu. Kuna mzee mmoja wa kichaga namfaham ana bureau nyingi sana mjini hapa na biashara nnje ya nchi i.e US, UK, Dubai & South Africa. Ki ukweli jamaa yuko vizuri mno. Ila ndio hvyo tena mtu hawez kuambia password ya mafanikio yake !!
 
Hii kitu nilishajiuliza.
Nikagundua kuwa kwa Bongo humu humu ndani huwezi kupata faida.
Nikaona eti labda kama unaenda kuuza dollar (USD) nchi za nje (mfano South Africa) unapata Rands (ZAR) halafu unazileta Tz kuziuza.
Niligundua hivyo baada ya kuona nikibadili USD zangu hapa Tz na kuwa ktk Rands napata Rands chache ukilonganisha na nikizibadili USD kiasi kilikile huko bondeni (South Africa).

Mfano:
Exchange rate kwa Tz (TZS) ikiwa:
USD - BUY 1,600: SELL 1,625
RAND - BUY 1,85: SELL 200

Kwa South Africa (ZAR) ikiwa:
USD - BUY 9: SELL 11

Fastjet (go & return): Dar - Jo'burg: Takribani 500,000 Tshs
Reference: (https://www.jamiiforums.com/habari-...-mpya-ya-fastjet-from-tz-to-south-africa.html)

Kwa hiyo ukiwa na 48,750,000 Tsh unaweza kununua 30,000 USD (kwa bei ya 1,625 Tshs kwa kila 1 USD).
Unaenda kuziuza hizo 30,000 USD huko South Africa kwa Rands 270,000 (kwa bei ya 9 Rands kwa kila 1 USD)
Unarudi Tz ukiwa na hizo Rands 270,000 halafu unaziuza kwa 185 Tshs kila Rand, unapata 49,950,000 Tshs.

Ukitoa mtaji na gharama ya usafiri kwenda na kurudi unabaki na faida.
Faida ni: 49,950,000 - (48,750,000 + 500,000) = 700,000 kwa siku = 21,000,000 kwa mwezi.
Hata ukisafiri kwa nusu ya siku zote kwa mwezi, tuseme upate faida ya 10,000,000 Tshs kwa mwezi.

Lakini kumbuka:
(1)Kuna sheria na taratibu za kimataifa za kusafirisha pesa. Hapa nd'o palinichanganya kidogo, lkn ninaamini HAPA ND'O UFUNGUO WA HIYO BIASHARA ULIPOKAA (This may be the place where the right key for this business is hidden).
Reference: IATA - International Air Transport Association
(IATA - South Africa Customs, Currency & Airport Tax regulations details)
(2)Kuna madhara ya mionzi kwa wale wanasafiri kwa ndege mara kwa mara (Ionising radiation).
Reference: (ARPANSA - Cosmic radiation exposure when flying)
wewe ndo umepiga pentagoni hasa...hapa ni kufanya crossboarder ndo inakulipa.chukua tsh nunua ush then nunua dola kisha uza kwa ksh then badili ziwe tsh.(mfano tu)
 
Mwaga kila kitu hapa kama ni kitu cha kueleweka na si tupige deal hzo. Cha muhimuni ufahamu tu.

Kwa nature ya jamaa anayotoka kufanya ya kununua wakati bei iko nchini then auze ikiwa juu ni ngumu sana kwani kwanza bei ya dola haitabiliki sana na isitoshe ili aone faida itabidi awe na hela nyingi za kuwekeza otherwise hatakuwa amefanya chochote. Bei ya dola inashuka sana week ya kuelekea Krismass na kuanza kupanda January kwa tofauti ya sh 20-30 kwa dola moja hivyo kama ulinunua say dola 20,000 kwa tsh 31,900,000/- (rate ya 1595) utakuwa na profit ya 400,000-600,000. Kimsing hapa ni kufanya kila siku. Asikudanye mtu bureau zinalipa sana ukiwa mjanja na nimekuwa naifanya kazi hii tangu last year na sifikirii kuiacha. Ukiwa na atlest 30m zako unaweza kutengeneza minimum ya 92,500 per day.
 
wewe ndo umepiga pentagoni hasa...hapa ni kufanya crossboarder ndo inakulipa.chukua tsh nunua ush then nunua dola kisha uza kwa ksh then badili ziwe tsh.(mfano tu)

Kaka huwezi pata faida kwenye nchi iliyokuzidi uchumi kama South Africa. Faida utapata tu kama utafanya na nchi ambazo thamani ya hela ya nchi husika ipochini kuliko nchi unayoishi. Mfano rate ya leo ya Dola Buy 1615 Sell 1625 wakati Rand imekuwa buy 140 Sell 170. Kwa hiyo Tsh 48,750,00/- ungepata Dola 30,000/- na ukienda Pretoria/Joberg kuuza utapata Rand 330,000 ( hapa umeuza kwa rate ya 11 ya leo buy imekuwa 11 sale 12.5) Sasa njoo na Rand zako 330,000/- Tanzania then uziuze kwa 140 ambayo sie watu wa bureau tumenunua leo 330,000/-x140 utapata 46,200,000/- ambapo utakuwa umepata gross loss ya 2,550,000 bila kuongeza ticket ya ndege na gharama za safari. Ila story ni tofauti ukifanya biashara say Zambia na Uganda ambapo hela yao ipo chini kuliko Tanzania.
 
ame2012 , labda tueleze kwa uzoefu unaifanya kila siku na wewe unafanya cross border au , hii ya cross border nimeipenda hivi hatuwezi kutumia account kufanya huu mchezo lazima kusafiri lets say , mfano kama mtu yupo south na mwingine yupo tanzania na kuna account si mnaweza kufanya
 
Mngekuwa mnasugua vichwa namna hii bila matusi basiTanzania ingekuwa mbali.
Endeleeni kufunguka wakuu, naifuatilia hii habari kwa umakini mkubwa.
Mwenye kujua masharti ya kufungua Bureau de Change atujuze
 
Wakuu tusidanganyane sana,hii biashara kwa nchi kama Tanzania,uwezi kupata faida!!Nakushahuri fanya biashara nyingine.

Hapana inalipa sana maadamu uwe na capital inayoeleweka. Nimekuwa naifanya hii kazi tangu mwaka jana na ina faida
 
ame2012 , labda tueleze kwa uzoefu unaifanya kila siku na wewe unafanya cross border au , hii ya cross border nimeipenda hivi hatuwezi kutumia account kufanya huu mchezo lazima kusafiri lets say , mfano kama mtu yupo south na mwingine yupo tanzania na kuna account si mnaweza kufanya

Yeah nacrossboarder za Uganda, Zambia na DRC kwani huko thamani ya hela yao ipo chini kuliko tanzania. Tatizo kufungua account nchi hizo hasa zambia hawaruhusu wasio raia unless una work permit. So natumia account za jamaa zangu raia wa huko kutuma uganda shillings na kwacha then wananinunulia dola, kunifikia hizo dola ni ishu nyingine mkuu.
 
Hapo n mwenda wa bid and ask,mkuu concept yako n nzur sema weng wamebaka uzi,unapoenda nunua dollar inamaaana wao wakuuzia dollar naww utawauzia tsh kwa maana hi we ukiuza wao wananunua, siku zote ukiuza tsh watanunua kwa bei ndogo ya bid na kwenda nunua dollar watakuuzia kwa bei kubwa pia, uktaka ingia kwenye hii soko tafta wazoefu wakupe Abcd
 
Mngekuwa mnasugua vichwa namna hii bila matusi basiTanzania ingekuwa mbali.
Endeleeni kufunguka wakuu, naifuatilia hii habari kwa umakini mkubwa.
Mwenye kujua masharti ya kufungua Bureau de Change atujuze

Masharti ya BOT magumu kidogo kiufupi, kwa mwaka jana minimum capital kwenye account ya company iwe na 40M, ueleze ulivyozipata hizo hela, wamiliki wajulikane, ofisi iwe na ulinzi,cm landline, fax, machine za kuscan dola na sh, kuwe na counta mbili buy and sell. Masharti yanapatikana kwenye tovuti ya B.O.T
 
Masharti ya BOT magumu kidogo kiufupi, kwa mwaka jana minimum capital kwenye account ya company iwe na 40M, ueleze ulivyozipata hizo hela, wamiliki wajulikane, ofisi iwe na ulinzi,cm landline, fax, machine za kuscan dola na sh, kuwe na counta mbili buy and sell. Masharti yanapatikana kwenye tovuti ya B.O.T
Asante sana, bossman!
Turudi kwenye potential risks:
Vipi kuhusu kuporwa cash? Manake mjini hapa kila kukicha majambazi yanafanya kweli.
Vipi kuhusu counterfeit dollars? manake nasikia nyingine hata ukizi-scan kwenye scanning machine haziwi detected?
 
Nadhani aujanipata vizuri,wao kama bureau D change wanapata faida tena sana,mdau hapo juu kauliza kama anaweza kununua kwa mfano Dollar kutoka Bureau D change moja na kwenda kuuza sehemu nyingine,je atapata faida??Jibu ni kwamba sehemu kubwa atapata loss(hasara).

A big loss
 
Hii kitu nilishajiuliza.
Nikagundua kuwa kwa Bongo humu humu ndani huwezi kupata faida.
Nikaona eti labda kama unaenda kuuza dollar (USD) nchi za nje (mfano South Africa) unapata Rands (ZAR) halafu unazileta Tz kuziuza.
Niligundua hivyo baada ya kuona nikibadili USD zangu hapa Tz na kuwa ktk Rands napata Rands chache ukilonganisha na nikizibadili USD kiasi kilikile huko bondeni (South Africa).

Mfano:
Exchange rate kwa Tz (TZS) ikiwa:
USD - BUY 1,600: SELL 1,625
RAND - BUY 1,85: SELL 200

Kwa South Africa (ZAR) ikiwa:
USD - BUY 9: SELL 11

Fastjet (go & return): Dar - Jo'burg: Takribani 500,000 Tshs
Reference: (https://www.jamiiforums.com/habari-...-mpya-ya-fastjet-from-tz-to-south-africa.html)

Kwa hiyo ukiwa na 48,750,000 Tsh unaweza kununua 30,000 USD (kwa bei ya 1,625 Tshs kwa kila 1 USD).
Unaenda kuziuza hizo 30,000 USD huko South Africa kwa Rands 270,000 (kwa bei ya 9 Rands kwa kila 1 USD)
Unarudi Tz ukiwa na hizo Rands 270,000 halafu unaziuza kwa 185 Tshs kila Rand, unapata 49,950,000 Tshs.

Ukitoa mtaji na gharama ya usafiri kwenda na kurudi unabaki na faida.
Faida ni: 49,950,000 - (48,750,000 + 500,000) = 700,000 kwa siku = 21,000,000 kwa mwezi.
Hata ukisafiri kwa nusu ya siku zote kwa mwezi, tuseme upate faida ya 10,000,000 Tshs kwa mwezi.

Lakini kumbuka:
(1)Kuna sheria na taratibu za kimataifa za kusafirisha pesa. Hapa nd'o palinichanganya kidogo, lkn ninaamini HAPA ND'O UFUNGUO WA HIYO BIASHARA ULIPOKAA (This may be the place where the right key for this business is hidden).
Reference: IATA - International Air Transport Association
(IATA - South Africa Customs, Currency & Airport Tax regulations details)
(2)Kuna madhara ya mionzi kwa wale wanasafiri kwa ndege mara kwa mara (Ionising radiation).
Reference: (ARPANSA - Cosmic radiation exposure when flying)

Mkuu naona unapiga triangle market safi sana ndio maana kuna mdau alisema kwa kibongo ni ngumu sana ni bora kufanya biashara hii online.je bongo kuna online forex market?
 
Wakuu tusidanganyane sana,hii biashara kwa nchi kama Tanzania,uwezi kupata faida!!Nakushahuri fanya biashara nyingine.
Bossman, kama ni hivyo mbona kila kukicha haya maduka ndio yanazidi kuongezeka? Kama hawapati faida si wangeshafunga?
 
Asante sana, bossman!
Turudi kwenye potential risks:
Vipi kuhusu kuporwa cash? Manake mjini hapa kila kukicha majambazi yanafanya kweli.
Vipi kuhusu counterfeit dollars? manake nasikia nyingine hata ukizi-scan kwenye scanning machine haziwi detected?

Siku zote biashara ya cash ina attract high risk. Biashara hii ina 100% risk but the higher the risk the higher the return. Kuhusu fake Ukiwa na uzoefu ile kuishika tu note fake utaijua,kuipitisha kwenye mashine ni just comfirmatory test. Note iliyo na fake nyingi kwa dola ni 100 lakini wametoa note mpya ambayo fake zake bado zijaziona. Yenyewe ina more security.
 
Siku zote biashara ya cash ina attract high risk. Biashara hii ina 100% risk but the higher the risk the higher the return. Kuhusu fake Ukiwa na uzoefu ile kuishika tu note fake utaijua,kuipitisha kwenye mashine ni just comfirmatory test. Note iliyo na fake nyingi kwa dola ni 100 lakini wametoa note mpya ambayo fake zake bado zijaziona. Yenyewe ina more security.
Shukran bossman kwa details muhimu.
 
Utamu wa hii biashara unakuja pale unapokua na businesses in more than one country (Multi-national) i.e UK, US, South Africa & TZ. Ukijipanga kufanya hiyo michezo unavuta hela nzuri tu. Kuna mzee mmoja wa kichaga namfaham ana bureau nyingi sana mjini hapa na biashara nnje ya nchi i.e US, UK, Dubai & South Africa. Ki ukweli jamaa yuko vizuri mno. Ila ndio hvyo tena mtu hawez kuambia password ya mafanikio yake !!

Hizo password kweli hawezi kukupa kaka unless awe amekupenda sana,kwa watu wanofanya hivyo i mean wenye network kwenye nchi zingine ni ngumu kuepuka kutakatisha fedha halamu yaani money laundering. Kuna rafu flani inabidi ufanye tu ili ufanikiwe.
 
Back
Top Bottom