Biashara ya internet

Biashara ya internet

mkuu Nipe utaalam wa kuanzisha biz ya intaneti coz nataka kufanya biashara kama hiyo.
 
Internet Cafe ukipata location nzuri inalipa.Ila inahitaji support ya vitu vingine kuongeza mzunguko kama stationery,MPESA,TigoPesa,MaxMalipo n.k
 
Internet Cafe ukipata location nzuri inalipa.Ila inahitaji support ya vitu vingine kuongeza mzunguko kama stationery,MPESA,TigoPesa,MaxMalipo n.k

Mkuu hebu nielezee kidogo kuhusu hiyo kitu hapo kwa red, umenitamanisha kiaina!
 
Mkuu hebu nielezee kidogo kuhusu hiyo kitu hapo kwa red, umenitamanisha kiaina!

Ukiwa na hiyo unaweza kutoa huduma za vocha za simu,luku,dawasco,Startimes,Zuku,DSTV,Airtel Money n.k
 
Ukiwa na hiyo unaweza kutoa huduma za vocha za simu,luku,dawasco,Startimes,Zuku,DSTV,Airtel Money n.k

duh, kumbe nilikuwa chaka kabisa, nashukuru kwa kunijuza mkuu!

vipi mchakato wa kuipata upoje mkuu?
 
Jamani naomba mnisaidie kifaa gn? kinafaa kusambaza internet iwe kwa wireless au cable katika internet cafe
 
Kama unataka kufungua internet cafe lazima ujifikirie mara mbili.
Kutokana na ongezeko la simu za kisasa zenye uwezo wa internet na makampuni kupunguza bei za internet imechochea biashara ya internet cafe kudorola.
Zamani internet cafe ata za uswahilini zilipata wateja.

Ukifungua internet cafe kwa sasa ili ufanikiwe inabidi ufungue sehemu zenye wanafunz au mzunguko wa watu wengi na uweke vitu vingi.

Gharama za uendeshaji internet cafe zimekuwa kubwa kuliko kipato.
mfano wa gharama hizo kama za kodi ya chumba, internet service provider, umeme, TRA,kulipia bango au maandishi, matengenezo ya computer, mshahara wa mfanyakazi.
umeme kukatika hovyo hovyo kunadumaza na kuleta hasara

Hivo kabla ujafungua internet cafe fikiria mara mbili mbili
 
Kama ulivyosema mtoa mada, fungua internet café lakini usitegemee kitu kimoja, weka printer, photocopy machine, piga paspoti size, uza/kodisha cd, utatoka tu, japo mtaji wake ni mrefu kidogo.
 
Kama unataka kufungua internet cafe lazima ujifikirie mara mbili.
Kutokana na ongezeko la simu za kisasa zenye uwezo wa internet na makampuni kupunguza bei za internet imechochea biashara ya internet cafe kudorola.
Zamani internet cafe ata za uswahilini zilipata wateja.

Ukifungua internet cafe kwa sasa ili ufanikiwe inabidi ufungue sehemu zenye wanafunz au mzunguko wa watu wengi na uweke vitu vingi.

Gharama za uendeshaji internet cafe zimekuwa kubwa kuliko kipato.
mfano wa gharama hizo kama za kodi ya chumba, internet service provider, umeme, TRA,kulipia bango au maandishi, matengenezo ya computer, mshahara wa mfanyakazi.
umeme kukatika hovyo hovyo kunadumaza na kuleta hasara

Hivo kabla ujafungua internet cafe fikiria mara mbili mbili


Ni kweli, wengine wameamua kuchanganya na ishu za betting ili angalau wapate pesa ya kutosha, wengine wamefunga kabisa, wengine wamefungua biashara nyingine, ishu ya betting now nafikiri ni Vodacom wameanzisha pia, betting ya mambo ya football, kazi ipo!
 
Back
Top Bottom