Biashara ya ice cream na mtaji wa tsh milioni 4

habarini za mchana ndugu zangu Wana jamvi.

Ninaomba msaada wa kupata uzoefu na mahitaji yanayo takiwa katika kuanzishia biashara ya Ice cream zenye ubora kwa mtaji wa TSH milioni 4 .

Nilipo nipo maeneo ya Wilayani ambalo shule ni nyingi zahanati, masoko, na stendi za magari.
Usisahau jenereta
 
Mkuu kama bado unatengeneza ice cream naomba nije uwe unaniuzia kwa jumla.
 
Back
Top Bottom