chanika moja
Member
- Apr 18, 2015
- 80
- 29
Habarini za mchana ndugu zangu Wana jamvi.
Ninaomba msaada wa kupata uzoefu na mahitaji yanayo takiwa katika kuanzishia biashara ya Ice cream zenye ubora kwa mtaji wa TSH milioni 4.
Nilipo nipo maeneo ya Wilayani ambalo shule ni nyingi zahanati, masoko, na stendi za magari.
Ninaomba msaada wa kupata uzoefu na mahitaji yanayo takiwa katika kuanzishia biashara ya Ice cream zenye ubora kwa mtaji wa TSH milioni 4.
Nilipo nipo maeneo ya Wilayani ambalo shule ni nyingi zahanati, masoko, na stendi za magari.