All the best man.Asante kwa mawazo mkuu
We nadhani ujawaia kufanya hata ayo mazoezi yenyewe,, gym zinalipa, ila Gym fungulia uswazi fulani, sio hizi ambazo babkubwa sana ,, fungulia uswahilini ndio unapiga pesaSijamuona mtu ametoboa kwa biz ya gym, labda ufanye kama passion/hobby.
Anakupotosha uyo mkuuAsante kwa mawazo mkuu
Sawa mfanya mazoezi wa uswazi.We nadhani ujawaia kufanya hata ayo mazoezi yenyewe,, gym zinalipa, ila Gym fungulia uswazi fulani, sio hizi ambazo babkubwa sana ,, fungulia uswahilini ndio unapiga pesa
Me nna gym mbili maeneo Kama ayo dada, nna experience na nnachokisema, na nikisema uswazi simaanishi uswazi unayoijua wewe, yaani watu wa mazoezi wanaziitaga local gym, kiingilio elfu 3,na kwa kulipia mwezi 70,000, kwa siku huwa hawakosekani watu 20 mpk 30 wastani, wale wa ingia toka, umeme kwa mwezi elfu kumi tu, Kuna siku idadi inazidi zaidi,Sawa mfanya mazoezi wa uswazi.
Sawasawa mke wangu.Me nna gym mbili maeneo Kama ayo dada, nna experience na nnachokisema, na nikisema uswazi simaanishi uswazi unayoijua wewe, yaani watu wa mazoezi wanaziitaga local gym, kiingilio elfu 3,na kwa kulipia mwezi 70,000, kwa siku huwa hawakosekani watu 20 mpk 30 wastani,wale wa ingia toka, umeme kwa mwezi elfu kumi tu, Kuna siku idadi inazidi zaidi,
Naomba kujua vifaa vyake vinapatikana wapi Na Bei zake zikoje???Me nna gym mbili maeneo Kama ayo dada, nna experience na nnachokisema, na nikisema uswazi simaanishi uswazi unayoijua wewe, yaani watu wa mazoezi wanaziitaga local gym, kiingilio elfu 3,na kwa kulipia mwezi 70,000, kwa siku huwa hawakosekani watu 20 mpk 30 wastani,wale wa ingia toka, umeme kwa mwezi elfu kumi tu, Kuna siku idadi inazidi zaidi,
Me nna gym mbili maeneo Kama ayo dada, nna experience na nnachokisemaSawa mfanya mazoezi wa uswazi.
Naona unatafuta TOP kinguvuSawasawa mke wangu.
Kiasi gani unatengeneza kwenye gym moja?Me nna gym mbili maeneo Kama ayo dada, nna experience na nnachokisema, na nikisema uswazi simaanishi uswazi unayoijua wewe, yaani watu wa mazoezi wanaziitaga local gym, kiingilio elfu 3,na kwa kulipia mwezi 70,000, kwa siku huwa hawakosekani watu 20 mpk 30 wastani,wale wa ingia toka, umeme kwa mwezi elfu kumi tu, Kuna siku idadi inazidi zaidi,
Chora 7 mrembo.Me nna gym mbili maeneo Kama ayo dada, nna experience na nnachokisema
naona unatafuta TOP kinguvu