Biashara ya Guta la mizigo ina utofauti gani na biashara ya bajaj ya abiria?

Biashara ya Guta la mizigo ina utofauti gani na biashara ya bajaj ya abiria?

Boutafrica

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
1,258
Reaction score
2,736
Kuna uzi flan ulianzishwa na mdau flan akiponda biashara ya kumkabidhi mtu bajaji ya abiria akuletee 20000/day kwamba ni biaashara kichaa na ya kijinga sababu kubwa ikiambatanishwa na bei ya bajaj kuwa ghari kulinganisha na kinachoingia,sasa hapa pia nilitaka kufahamu,vipi kuhusu GUTA (pikipiki ya mizigo)ambalo bei yake ni rahisi?
Wazoefu karibuni....
 
Tatizo watu wanapenda vitu visivyotumia nguvu hata kama kipato kiduchu yeye atakomaa tuu...
 
Kuna uzi flan ulianzishwa na mdau flan akiponda biashara ya kumkabidhi mtu bajaji ya abiria akuletee 20000/day kwamba ni biaashara kichaa na ya kijinga sababu kubwa ikiambatanishwa na bei ya bajaj kuwa ghari kulinganisha na kinachoingia,sasa hapa pia nilitaka kufahamu,vipi kuhusu GUTA (pikipiki ya mizigo)ambalo bei yake ni rahisi?
Wazoefu karibuni....
Guta toyo mkataba ni tsh 25,000 mwaka na nusu ila inategemea na boss.
 
Guta ni mchongo mzuri ila upate center mzuri na msimamizi mzuri
Ata mimi natafuta guta mzuri used
 
Back
Top Bottom