TauHeeeD
Senior Member
- Feb 15, 2013
- 191
- 134
Special hires now days zimetembelewa na watu na akili nyingi. Mjini watu hawapendi bugudha, k/koo unapata wateja wa level siti wanaenda salasala, kila mmoja anakupa 60k for 6days. Gari ina ruti asubuhi na jioni tu X25 level cct. Tunaongelea 6M/ month. Ukitoa mafuta na service za hapa na pale unajijenga.