intro JF-Expert Member Jul 14, 2016 306 325 Aug 12, 2016 #1 Wadau nataka kufanya hii biashara.Nasikia inalipa kweli. Nimeanza kuokota vyuma kama hivi. Naomba ushauri wa soko. Natanguliza shukran.
Wadau nataka kufanya hii biashara.Nasikia inalipa kweli. Nimeanza kuokota vyuma kama hivi. Naomba ushauri wa soko. Natanguliza shukran.
intro JF-Expert Member Jul 14, 2016 306 325 Aug 12, 2016 Thread starter #3 Fourtyseven said: Vyuma hvyo kauzie syria Click to expand... Syria mbali mkuu.Mtaji finyu
KikulachoChako JF-Expert Member Jul 21, 2013 18,126 32,806 Aug 12, 2016 #4 Wapelekee pale ngome huwa wananunua vyuma hivyo kwa bei nzuri tu......
intro JF-Expert Member Jul 14, 2016 306 325 Aug 12, 2016 Thread starter #6 Nchi Kavu said: Hayo ni magangwala. Dili sana Click to expand... Soko la uhakika ni wapi?
Good Father JF-Expert Member Feb 28, 2014 10,275 18,351 Aug 12, 2016 #7 intro said: Soko la uhakika ni wapi? Click to expand... Jeshini ndo bei zao zinaeleweka tena ni cash tu we nenda kikosi chochote kilicho karibu nawe
intro said: Soko la uhakika ni wapi? Click to expand... Jeshini ndo bei zao zinaeleweka tena ni cash tu we nenda kikosi chochote kilicho karibu nawe
intro JF-Expert Member Jul 14, 2016 306 325 Aug 12, 2016 Thread starter #8 natoka hapa said: Jeshini ndo bei zao zinaeleweka tena ni cash tu we nenda kikosi chochote kilicho karibu nawe Click to expand... kama ni huko basi.
natoka hapa said: Jeshini ndo bei zao zinaeleweka tena ni cash tu we nenda kikosi chochote kilicho karibu nawe Click to expand... kama ni huko basi.
Hamis Juma JF-Expert Member Nov 4, 2011 2,229 2,266 Aug 12, 2016 #9 Hizo tunauza hapa mpakani kwa bei ya jumla... Msumbiji ziko nyingi sana... Njoo chukua
intro JF-Expert Member Jul 14, 2016 306 325 Aug 12, 2016 Thread starter #10 hamisj said: Hizo tunauza hapa mpakani kwa bei ya jumla... Msumbiji ziko nyingi sana... Njoo chukua Click to expand... Used zipoo?
hamisj said: Hizo tunauza hapa mpakani kwa bei ya jumla... Msumbiji ziko nyingi sana... Njoo chukua Click to expand... Used zipoo?
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,554 9,530 Aug 12, 2016 #11 Unazo kilo ngapi? Mimi huwa napeleka mogadishu
Kifimboplayer JF-Expert Member Nov 24, 2013 1,542 717 Aug 12, 2016 #12 Nina madini ya vyakula chuma ya chuma soko lake lake?