Inalipa ukipata location nzuri na ukaweka kitu kizuri lakini ni lazima upate msimamizi mzuri na mwaminifu kama uko mbaliHallo my friend
I want to ask
Ivi biashara ya bar ina lipa dar es salam ?
Nataka kuweka bar dar es salam
But I’m not living there
Na taka tu kuwekeza
Sasa sijuwi kama ina lipa vile
Bar au Grocery.
Unawekeza kama Million mia ngapi hivi.
Inalipa ukipata location nzuri na ukaweka kitu kizuri lakini ni lazima upate msimamizi mzuri na mwaminifu kama uko mbali
Mkubwa sanaUna uzoefu na kazi iyi wewe au
Na msimamizi muaminifu haswa kwa kuwa mdau yuko mbali. Kuna jamaa yangu alifungua bar Dar ila shughuli zake nyingi zilikua Dodoma.Location ni muhimu sana.
Utatengeza kama Grocery hivi iweke kijanja ila simple. Utapiga hela.Dah acha zako Nina milioni 4 tu
Na msimamizi muaminifu haswa kwa kuwa mdau yuko mbali. Kuna jamaa yangu alifungua bar Dar ila shughuli zake nyingi zilikua Dodoma. Location ilikua ni perfect, ila sasa meneja aliemuweka alichokua anafanya ni kununua mzigo wake wa vinywaji ambao ndo anauuza kwa wingi, jamaa hadi kuja kugundua alikua kashaingia hasara ya kutosha.
Mkubwa sana
Na msimamizi muaminifu haswa kwa kuwa mdau yuko mbali. Kuna jamaa yangu alifungua bar Dar ila shughuli zake nyingi zilikua Dodoma. Location ilikua ni perfect, ila sasa meneja aliemuweka alichokua anafanya ni kununua mzigo wake wa vinywaji ambao ndo anauuza kwa wingi, jamaa hadi kuja kugundua alikua kashaingia hasara ya kutosha.
Inategemea na mganga wako analoga vipi
Check your pmNaomba unitafute on messenger my name is redy Dasca ili tuongeye mengi kama auto jali
Hiyo ni grocery. Bar haitoshi kabisaDah acha zako Nina milioni 4 tu
Hiyo ni grocery. Bar haitoshi kabisa