Biashara mpya ya usafiri wa haraka.....Dar!!

life is Short

JF-Expert Member
Apr 1, 2013
4,741
3,031
Kutokana na foleni za magari na usumbufu usiyokwepeka imebidi kuvumbua usafiri wa haraka..... Tumia helikopta.
Sky-airport-nov12-2013.jpg

Helicopter for hire lands on rooftop of ten-storey building in downtown Dar es Salaam last week. Those especially “allergic” to the inconveniences caused by the road traffic jams the city is notorious for may wish to know that a flight on the chopper from the city centre to Julius Nyerere International Airport costs US$275, which comes to roundabout 440,000/-.
 
Sasa kila sehemu utataumia helcopter we jamaa vp ww...na watz wangapi wanaweza kutumia huo usafiri, suala ni sisi kuibana serikali itimize wajibu wake kuondoa hii shida ya foleni, huu mji hauna barabara za kutosha or so wapime mji mwingne nje ya huu...
 
Sasa kila sehemu utataumia helcopter we jamaa vp ww...na watz wangapi wanaweza kutumia huo usafiri, suala ni sisi kuibana serikali itimize wajibu wake kuondoa hii shida ya foleni, huu mji hauna barabara za kutosha or so wapime mji mwingne nje ya huu...
Naongezea hapo kuwa Serikali iweke msukumo wa kutosha kwanza kukamilisha Mradi unaoendelea barabara kubwa ya Morogoro na zingine zote zilizomo katika mradi huo. Inaonekana kuna hujuma ndani yake kwani jamaa wanaonekana kufanya kazi siku zote lakini maendeleo hatuyaoni.
 
Ntajitahidi kuserbe ili ni ipande...! Si kwasababu nakwepa foleni bali ke-expiriens helcopter
 
Back
Top Bottom