Biashara Makuru Dodoma

Biashara Makuru Dodoma

Mom Cleo

New Member
Joined
Jul 18, 2019
Posts
4
Reaction score
2
Habari!

Kwa wanaoishi maeneo ya Makuru hapa Dodoma, naomba kujua Kama ni kunafaa kwa biashara ya pombe kali kama konyagi, k vant, blak Gn na kuendelea za kupima lakin, je hilo eneo linafaa kwa biashara hio?

Au Kuna biashara tofauti inayofaa zaidi eneo hilo?

ASANTE[emoji1616]
 
Hapafai nenda Changombe kule kuna walevi wakufa mtu
 
Back
Top Bottom