Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Mi ninavyojua ukiwa na passport au konali cha muda wanachofanya wanakugongea muuhuri. EAC hatutumii visa jamani. Mi nishafika bujumbura na kigali tena enzi hizo nilikuwa natumia vibali vya muda. Ila kumbuka kuchanja yello fivor.
huo muhuri ndio visa yenyewe. kibali unachopewa kuingia nchi fulani na muda utakaokaa