Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Naona LAT amekukatisha tamaa kama ungekuwa tayari kwa hiyo project tungewasiliana na Mchad ufanyanae kazi=======================
Mkuu unasema kweli au unatani?
maana mimi nikotayari kuianzisha hiya project kama utaniunganisha nahuyo mchad