captain zaka
JF-Expert Member
- Apr 19, 2025
- 262
- 258
Mimi nilifanya real estate , niliambiwa fremu zinalipa na guest, kumbe nilikuwa hasara, nahisi location ilikuwa mbaya. Fremu 10, mteja mmoja na bei anapanga yeye, guest wateja ni shortime wabkukulana , Tena unaweza pata 4 mwezi mzima. Hapa mikopo inanihemeaWadau Kila mtu ashawai kusimuliwa biashara fulan na faida inayopatikana ila alipojaribu alikutana na moto wa hatari , Ugumu , kukata ela , kupoteza ramani kabisa. Naomba tuelezee hapa chini biashara gani uliwahi kuifanya ikakutokea pabaya 😅😅 ???
Location ndio kipengele usirudie.Mimi nilifanya real estate , niliambiwa fremu zinalipa na guest, kumbe nilikuwa hasara, nahisi location ilikuwa mbaya. Fremu 10, mteja mmoja na bei anapanga yeye, guest wateja ni shortime wabkukulana , Tena unaweza pata 4 mwezi mzima. Hapa mikopo inanihemea
Duhh pole sana , Location changamto sana kweny real estateMimi nilifanya real estate , niliambiwa fremu zinalipa na guest, kumbe nilikuwa hasara, nahisi location ilikuwa mbaya. Fremu 10, mteja mmoja na bei anapanga yeye, guest wateja ni shortime wabkukulana , Tena unaweza pata 4 mwezi mzima. Hapa mikopo inanihemea
ase pole sana kiongoz , Una hakika strategy wanazotumia ni sawa na zako??Biashara ya Urembo, mkewangu alinishawishi sana biashara ya vitu vya urembo akasema vinalipa sana, na akitolea mfano wa wenzake wanaofanya hiyo biashara wanaonekana wana mafanikio basi nikashindwa kumpinga, nikaweka mtaji kama mil3.5 hivi ila karibu mwaka sasa sioni muelekeo wa hiyo biashara na site iko pazuri
Mapenzi yafutwe, wanaopenda wanyongweEvelyn Salt unapendwa na ChoiceVariable
HahahaMimi nilifanya real estate , niliambiwa fremu zinalipa na guest, kumbe nilikuwa hasara, nahisi location ilikuwa mbaya. Fremu 10, mteja mmoja na bei anapanga yeye, guest wateja ni shortime wabkukulana , Tena unaweza pata 4 mwezi mzima. Hapa mikopo inanihemea
😅😅😅 mambo ya kariakoo hayoBiashara ya cover za smartphone,
Ukileta Brandi hii, wiki ijayo wateja hawaitaki,Tayar imeshatoka nyingine
Kifutio ninacho, njoo tuyafute...Mapenzi yafutwe, wanaopenda wanyongwe
Hapo sijajua, maana msimamizi wa hilo duka ni wife aliyeleta hilo wazoase pole sana kiongoz , Una hakika strategy wanazotumia ni sawa na zako??
Urembo gan au vipidoz kama nivipodoz huwez ona kwa mil 3ase pole sana kiongoz , Una hakika strategy wanazotumia ni sawa na zako??