Bia zimepanda bei

minuz

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2014
Posts
624
Reaction score
216
Wanajamvi,

Bia zimepanda na bei jana nimeuziwa castle lager 2500 nilikua na ten tu ivyo niliishia bia 4 stim hakuna apo fegi sijavuta na mpira haujaisha costa rica wamekomaa balaa asa kutokana na huu ukata naludi nyumbani kuanzia leo ni mwendo wa konyagi tu mibia bei mbaya stim hakuna hela zenyewe za ku ungaunga bia sio dili wala nini wito kwa tanzania konyagi kazeni buti wateja tunaongezeka.
=============================================

 
hapo safi kabisa dakika chache tu akili inakaa vizuri

au kisichana chao kinatosha
 

the spirit of nation
 
Mbona tutakoma,itabidi sasa hivi niwe naanzia Polisi Mess halafu ndio najichanganya kwenye viwanja vya kawaida.
 
Hahahaha lakin castle lager hazijapandishwa bei ni ileile 2.

Nakwambia jana nimeuziwa 2500 na nimelalamika ile mbaya lakini nilichemsha meneja wa bar akanipa ushauri nibadilishe bia ndio nikaona bora ya konyaji tu tabu yote ya nini bora kuyumba tu
 
Sasa kama hao wanaopanga hiyo bajeti wanapiga vita unywaji unategemea nini. Udini nao unachangia upuuzi mwingi tu Tz.Wengine wanafanya kukomoa tu, wala sio kwamba wamekosa vyanzo vya mapato
 
hahaaa,kiroba jogoo na banana wameongezewa kodi lakini hawajapandisha bei ya kinywaji...why?expecting tha drop outs of ''beeeeer''....!
 
Sasa kama hao wanaopanga hiyo bajeti wanapiga vita unywaji unategemea nini. Udini nao unachangia upuuzi mwingi tu Tz.Wengine wanafanya kukomoa tu, wala sio kwamba wamekosa vyanzo vya mapato
Hakuna udini na wala hukomolewi ,tunafanya hivyo kwa kuwa tunajua nyie ni walevi die hard hata ikiuzwa kwa dhahabu mtanunua tu!
 
Bora kunywa gongo tu, tena siku hizi hadi kwa mama muuza anaweka TV;
 
mia mbili tu,,wanawasumbua wahudumu bure kusaka change
 
ina bidi tutafute style nyingine ya kutupa stim maana ma biaaa ishakuwa shida ktk bei
 
Mbona hiyo bei ndogo,wenzio hunywa bia kwa sh.4000

Hao ni mafisadi kwa sisi watz wa mshahara tarehe 40 kununua bia 4000 ni zambi kwanza ata stim yenyewe inakatika nikiifikilia tu iyo buku 4 moyo unadunda
 
Karibu katka Spirit Of Our Nation "konyagi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…