Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,920
- 30,263
Nyumba ya Bi. Azza bint Abdulkheir ilikuwa Zawiyya ya Tariqa Qadirriya lakini nyumba hii pia ilikuwa kituo cha wanachama wa TANU katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiwa Kllwa hii ndiyo nyumba aliyokuwa akifikia na kulala.
Bi. Azza bint Abdulkheir kakumbukwa na kapewa mtaa kwa kuthamini mchango wake wakati wa kupigani uhuru wa Tanganyika.
Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiwa Kllwa hii ndiyo nyumba aliyokuwa akifikia na kulala.
Bi. Azza bint Abdulkheir kakumbukwa na kapewa mtaa kwa kuthamini mchango wake wakati wa kupigani uhuru wa Tanganyika.