Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,254
- 105,367
- Thread starter
- #21
Ni ugonjwa usiotibika.
Nikisoma analyses zako naona kama umekuwa devil's advocate?
Ni vibaya kuandika au kuzungumza English ya kitanzania kweli? Hakuna varieties za English ktk dunia hii? British English, American English, Jamaican na hata pidgin english. What do these mean?
Hakuna haja ya kujilazimisha kuwa American wakati wewe ni m-tz
Binafsi iwe English au Kiswahili ukishatumia maneno ambayo ni uncommon nitakuona huelewi lengo la uandishi wako. Baadhi watakusifu lugha unaifahamau lakini ukweli ni ule ule kwamba ni uandishi wa kujifanya au kuigiza.
Hata Hotuba za bajeti ktk Bunge letu zitolewazo kwa Kiswahili, ziliwahi kuwa za aina hiyo. Lakini mambo yamerekebishwa sasa iweje wewe hutaki! Au ktk gazeti eti tuseme lugha anaifahamu. Is that the intention of calling himself a columnist.
Imetosha maana hukawii kutumia neno 'stupid.'
The irony here is that, the same person who is brandishing his wrath of indignation at Ulimwengu for using what is deemed to be an inaccessible lingo - as if Ulimwengu was using Victorian English of the Dickensian diction, he wasn't even Churchillian!- the irony I was referring to lies in the fact that while Mchunguzi is lambasting Ulimwengu for using inaccessible English, Mchunguzi himself is cooking up a completely new "language" called Tanzanian English, with completely new sentence structures such as "Unless you are Ulimwengu but let him accept to be corrected" . The guy is advocating this new language, quite vehemently too, above all with no apologies.
Now who is being inaccessible here? Ulimwengu who is using standard English and a few words that will send you to the dictionary here and there (If you are Mchungu-Zii that is) or Mr Mchungu-Zii and his completely ungrammatical and "lost in translation" "English" ?
Why the double standards ?
If your principle is that writers should be accessible, you should write clear and grammatical English yourself, no double standards.
If it is OK for you to write your phoney baloney and call it "Tanzanian English" (Mzee Jongo anyone ? remember "ndiyo hiyo hiyo"), then it should be OK for Ulimwengu to write all the highfaluting English he wants.
Otherwise change your English and drop that less than globish galore gibberish garbage of gargantuan galons of gigabytes of goddamned gobbledygook and golden gaffes gagged to your guts.