Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Tisije lala kwa boma ya mama mukwe!
Mbu walin~TAFUNA kama SHAMBAAAA... HATARI LAKINI LASAAAMAAA...
Tisije lala kwa boma ya mama mukwe!
Kwann isiende..na leo na pesa mingi kuliko jana
Huu ni udhalilishaji wa taaluma. Si vibaya kwa mwandishi kuwa mnywaji, lakini mnapofanya ziara kwenye taasisi kama taasisi, ni vema kukubali, kwanza, kuvalishwa mat-shirt kama ilivyofanyika hapa na pia, kugeuzwa ninyi kuwa nio wakemia wa kampuni ya bia. Kulikuwa na mambo mengi ya kufanya kuonyesha ushirikiano kati ya kampuni na waandishiw a habari, lakini hili si mojawapoView attachment 47840Jamani habari ya kutoka Mbeya leo muihakiki mara mbili maana blog moja imetaarifu kwamba waandishi wa huko wamepigwa maji ya mende leo na TBL..............HAPA NI WAKATI WANAANZA TU...na unaweza kuona katika hali ya kawaida mtu hawezi kuwa na glass zaidi ya moja mbele yake.........ikiashiria dalili za network ya Muumba kutoweka na kusheheni ya TBL.............