Better being Single-Ndoa majanga tu

Better being Single-Ndoa majanga tu

Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu
Yamekukuta Mzee mwenzangu ...kwa hisani ya HardBlasterz.
 
Asante Lyagwa kwa ushauri mzuri.....Ni tangu jumatatu ya wiki hii.Kiukweli sija mcheat wala kumtendea lolote baya ,ninamjali sana hadi mimi najikubalki kwamba najitoa kwake when she needs me....Niko msikivu sana kwake.....anachokitaka nampatia nikiweza....sasa mi sielewi mtu anabadilika tu ghafla bila sababu...nimekuwa nae kwa mwaka wa tatu sasa

endelea kujitoa tena sana, atarudi ktk hali yake ya kawaida labda ndio style yake ya kudeka we hujajua tu
 
Last edited by a moderator:
Hilo tatizo lako ni dogo sana mkuu, kwa upande wa tabia za wanawake huwa wanavijitabia very unique ambavyo huwezi kufananisha na wanaume kiufupi hilo siyo tatizo japo linakunyima raha piga moyo konde huyo ni wako tulia nae!
 
Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu

ulisha conclude mwenywe hapo kwenye nyekundu sasa sijui unatuuliza nini? wachumba wengi ni wagumu sana kusoma alama za nyakati, matokeo yake inakuja kuwa majuto baada ya kuoana!
 
Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu

Inaonyesha jinsi gani usivyo na uzoefu n mambo haya! U sound like a first grader! Utazoea tuuuuuu!
Mwanamke wa kuoa utamjua tu, It comes automatically!
Kwa kifupi hapo hupendwi kuna mtu anamuwaza and her heart is longing to meet this guy!!!
 
Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu

Naskia ukiwa na hapo kwenye redi mnaenda sawa kumbe hata ukiwa na gari majanga tu.
 
Kajambo kadogo kama hako unakimbilia jf. Kweli wanawake/mabinti wana akili ya kuvukia barabara tu.
 
0siwaseme sana wanawake, mbona hata mm nimekumbana na tabia kama hiyo kwa upande wa wanaume? Hata sasa hivi nimenuniwa week sasa, na sielewi nn kinaendelea. Basi hicho kichaa hata nyie wanaume mnacho. Ila tumezoea tatizo/tabia fulani akiwa nayo mwanamke ndio inakuwa 'big deal'
Ndio nakusikia wewe kwamba Wanaume nao wana tabia ya kununa, huyo jamaa yako anayekununia hana kitu anakuwekea uso wa mbuzi uogope hata kumpiga mziga. Stuka.
 
Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu
una kamoyo kadogo sana
 
Naomba usigeneralize mimi nilikuwa kwenye urafiki+ uchumba miaka sita na toka tumeoana ni mwaka wa nane sasa maisha BOMBA RAHA KWA KENDA MBELE. NODA TAMU BWANA!!!!!
 
Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu
Gracious!!!!!!!!Hiyo mbona kawaida tu! lazima kuna kitu anataka umpatie.na inawezekana unaumiza kichwa kumbe jambo lenyewe ni dogo tu.
Huenda siku moja ulijisahau ukamsifia binti fulani mbele yake.
moja ya vitu utakavyokutana navyo kwenye ndoa ni attention seeking behaviour.Unaweza ukatamka jambo ukaliona dogo mwenzio akaona umemdharau.
Usikate tamaa!ukishaweka moyoni kuwa kwenye ndoa huwa kuna milima na mabonde, hata likitokea jambo unabaki kusema "Mlima huo" au "leo mteremko".
Sasa ukiogopa kuoa, haya maisha ya uchumba utaendelea nayo mpaka lini!
 
Last edited by a moderator:
Dah maisha haya mtihani sana, kama wewe unadrive na anakutesa namna hiyo sa sisi watembea kwa mguu sijui adhabu yetu itakuwa ipi.
 
0siwaseme sana wanawake, mbona hata mm nimekumbana na tabia kama hiyo kwa upande wa wanaume? Hata sasa hivi nimenuniwa week sasa, na sielewi nn kinaendelea. Basi hicho kichaa hata nyie wanaume mnacho. Ila tumezoea tatizo/tabia fulani akiwa nayo mwanamke ndio inakuwa 'big deal'
Bado kanuna?
 
Labda hajaona siku zake, anasubiri muda muafaka akuambie
 
haha haha hah kumbe hii ni wiki ya minuno eeh? mie wiki ya pili jamaa kanuna na mie wala sina time ndo kwanza nala bata na wengine mwanaume hawezi ninyima furaha kwani principle yangu ni me and my hapiness first hayo mengine ni ya ziada tu
0siwaseme sana wanawake, mbona hata mm nimekumbana na tabia kama hiyo kwa upande wa wanaume? Hata sasa hivi nimenuniwa week sasa, na sielewi nn kinaendelea. Basi hicho kichaa hata nyie wanaume mnacho. Ila tumezoea tatizo/tabia fulani akiwa nayo mwanamke ndio inakuwa 'big deal'
 
Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu
Unajua ni vipi sio sababu kwamba mabaya yamekukuta wewe ndio necessarily yatanukuta mim au huyu anaesoma hii reply umeona bhana..mim nilivyoona title nikajua umeshakua kwenye ndoa na vitu kama hivyo..kumbe sio point ya msingi ni kwamba sometimes mtu anahitaji kua peke ake labda amepatwa na ugonjwa sema hajakwambia we unafikir inatokea tu from no where..!!kama umeshindwa mapenzi achana nayo fanya kitu kingine..sio wote watakaopitia matatizo wengine ni heaven on earth...comprende amigos..!!
 
Wadau;

Ndoa ni ndoano.kwa maisha ya sasa ni vigumu sana kuwa na ndoa yenye furaha,ni bahati.Usanii umekuwa mwingi sana.Uongo ndo routine,sio kwa mke wala kwa mme.Kinachotofautiana ni uwezo wa watu kuhimili mikiki ya ndoa hizo.Lakini zote ni majanga tu.

Mfano.Mimi na mchumba wangu kwa wiki sasa namwona hayuko sawa ,nimetumia mbinu nyingi sana kujua ni nini shida,nimemuuliza taratibu kwa mapenzi ya hali ya juu.Lakini best ananiambia hana shida yuko sawa tu.Sometimes namsemesha hasikii narudia kama mara tatu alafu anashtuka kwamba namuuliza yeye.Yaani hayuko na mimi.Hasa tukiwa kwenye gari nadrive namwona kabisa hayupo na mimi kimawazo.Hii ishu imenikwaza na kunifikirisha sana,Kwamba kama huu ni Uchumba tu,Je ndoa itakuwaje,Si majanga tu.Mtu hayuko sawa na hasemi,sasa mi ntamfanyaje jamani,hebu nishaurini,naogopa mwenzenu

This is your private business. Kama huwezi achana naye. Hayatuhusu.
 
Hehehe. Yaani dingi Mtambuzi ndo alikuwa analipa ada afu mie naona kama naonewa kulipiwa ada nisome. Sasa ada najilipia, na bado vianko vyako navyo vinadai ada na skuli tripu ya south africa. Natamani kuwaambia acheni shule tuuze maandazi! I wish i was a kid seriously!
CC Mtambuzi...si ndo alilipa ada?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom