Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 664
i totally agree with you wake wanachakachua ndoa zao wanatutongozea wanaume zetu wengine mpaka wanataka kuwabaka
wanaume ndo kabisaaaa mume wa mtu mda wowote unambeba juu juu
aiseee walio kwenye wanavumilia mengi khaaaa
hawataki tu kusema.
Halafu ukiwakuta sasa mume wangu ananipenda khaa kumbe mjini hapa wapo wenzio watatu na wao wanamuita hivo hivo na anawatunza kama wewe anavyokujali na pengine zaidi.
Kama ikitokea siku humu jf watu waelezee matatizo ya ndoa zao au wenza wao wawe wakweli. teh teh teh
hahahahah Really!