Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 675
Naomben msaada chaja yangu ya laptop iliharibika sasa katika mchakato wa kutafuta ela kununua ingine nilikaa kama wiki mbili ivi then nkanunua tatizo ni kuwa betri uktoa kwenye umeme laptop inazima ivi hakuna njia ya kushua betri wataalamu naomben mnielekeze