Habari zenu wakuu, naomba kujuulishwa web hosting company ya ukweli,mana nimecheki reviews za hostgator na godaddy pamoja na blue host zinatisha kweli kweli mpaka hujui uamini kipi. Mwenye experience anisaidie kidogo
Hosting wapo wengi kila mmoja ana ubora na udhaifu wake. Huwezi kupata aliyekamilika kila sekta kwa asilimia 100. Uchaguzi wako unategemea na mahitaji yako na bajeti yako. Kwa uzoefu wangu hosting provider wengi huwa ni reseller ni vyema ukapata kwa yule original host. Pia hosting wanaotumia cPanel kwa mtazamo wangu huwa hawana ulinzi ukilinganisha na wasiotumia cPanel.
Kwa sasa mimi natumia DreamHost na sina tatizo lolote lile nafurahia huduma.
Nimekusoma mkuu, naona dreamhost price zao si mchezo, ni double ya izo Hosts 2 nlozitaja apo juu. Mi sio mtaalamu wa web developing lakini nina kawebsite kangu nimekitengeza apa sasa ndo nataka kukipublish.
Hapa kila mtu anavutia upande wake tu!
Labda wakuu tuongelee kuhusu ulinzi, hosts zipi zipo vizuri?
vipi mkuu naomba ufafanuzi kuhusu hao Softnet solution ltd.Hosting wapo wengi kila mmoja ana ubora na udhaifu wake. Huwezi kupata aliyekamilika kila sekta. Uchaguzi wako unategemea na mahitaji yako na bajeti yako. ila ni vizuri unafanye hosting direct kwa provider. lakini kama webiste ya kawada mm natumia SOFTNET SOLUTIONS LTD wako vizuri
unajipa promo ili upate percentKaka mimi ni Blogger na nimepata advice mengi sana kutoka na marafiki wangu wa internet nimepewa advice kwamba Hostgator ni Nzuri Zaidi Kuliko zote CLICK HAPA kujoin hostgator na unapata discount pia 🙂
Bluehost ansumbua kwa website za Kitanzania. Yaani .ac.tz, .or.tz, .co.tzMimi naona hostgator na blue host wako vizuri.
Hao DreamHost hawasumbui kwa hizi website za kibongo zenye .ac.tz, .co.tz na .or.tz ? Bluehost hawazikubali hiziHosting wapo wengi kila mmoja ana ubora na udhaifu wake. Huwezi kupata aliyekamilika kila sekta kwa asilimia 100. Uchaguzi wako unategemea na mahitaji yako na bajeti yako. Kwa uzoefu wangu hosting provider wengi huwa ni reseller ni vyema ukapata kwa yule original host. Pia hosting wanaotumia cPanel kwa mtazamo wangu huwa hawana ulinzi ukilinganisha na wasiotumia cPanel.
Kwa sasa mimi natumia DreamHost na sina tatizo lolote lile nafurahia huduma.
Huwa natamani sana kuwatumia hawa jama (AWS) ila nashindwa pakuanzia nitakutafuta mkuu labda unaweza kunisaidia kitu.Mi situmii host yoyote zaidi ya Amazon Web Service, namba moja dunia nzima, sema kila kitu unafanya mwenyewe, hakuna kupost php code then ukae tu site iruke hewani, unapewa machine then ujiongeze mwenyewe, setup server unavyojua.