AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,666
- 2,840
mkuu yaelekea wewe mjuzi a haya magaemu ,pls nisaidie serial key ya game la football manager 2017 pls nakuomba sana bossdaah kwa sasa nipo mbali kidogo.. nipo tanga mitaa ya bombo huku.. ila halikushindi..!!!
sema kingine hakikisha una u-torrent kwenye pc yako.. ndo tunatumia kudownloadia..!!!
Fatilia site ulikodownload ndo unaweza kupata crack au hizo serial keys.mkuu yaelekea wewe mjuzi a haya magaemu ,pls nisaidie serial key ya game la football manager 2017 pls nakuomba sana boss
Aisee napataje hizi mambo?Nina kama miaka 7 hivi sijacheza game yoyote kabisa, though nina ahadi ya kurudi tena kutokana na raha niliyokuwa naipata. Kwa kipindi kile PC game hivi nilizikubali sana;
1. Hidden Dangerous
2. Project IGI 2
3. GTA - Vice City
4. Colin McRae Rally
5. Moto Combart
6. Moto GP
Nitarudi tena kwa nguvu sana muda si mrefu ....
moto gpAisee napataje hizi mambo?
Jaribu na American truck simulatorthe best ni EUR track simulation 2 kiboko kwanzia
graphic
Gaming desktop inauzwa.....graphics card ya nvidia gtx 750ti.....800k fixed.....njoo inbox tuongee
Uko juu sana mkuu hyo 700k nachkua Toshiba nzuri kabisa yenye graphics Kali sana core I 5 generation ya 4 or core i7 generation ya be serious bhnaaGaming desktop inauzwa.....graphics card ya nvidia gtx 750ti.....800k fixed.....njoo inbox tuongee
Bro......wewe unaongelea laptop.....hii ni workstation yenye specifications so demanding kwenye soko la media production......huwezi linganisha bei ya laptop na workstation yenye corei7 na graphics card ya nvidia geforce 750ti.....tena lazma uelewe bei ya hii card ipo juuUko juu sana mkuu hyo 700k nachkua Toshiba nzuri kabisa yenye graphics Kali sana core I 5 generation ya 4 or core i7 generation ya be serious bhnaa
Yes...huwa haliniishi hamuthe best ni EUR track simulation 2 kiboko kwanzia
graphic
Hii nimeanza kuishusha jana na TTCLsniper ghost warrior 3 hii apa
cpu i3 2nd gen
ram 8gb
gpu GTX 760 or ati radeon HD 7870
hdd 50gb
Sniper Ghost Warrior 3 Free Download
IGI bana ina raha yake. Kipindi nipo form 1 nlkua da dodge shule pale Azaboy natumia nauli kulipia game. IGI ina uhalisia flani sjui ni kwa vilr life yake sio kama za izi Call of duty.I.G.I 3!!!??? Hatari sana nyie watu, mimi hiyo IGI nilipiga 1 tuu na nikaimaliza. Nikaipata 2 nikawa siielewi elewi, nikaachana nao. Ila I.G.I ni bonge la Game, siku ya kwanza kuanza kucheza wakati Jones akipigwa risasi nikawa nahisi kama mimi ndo napigwa tena nikawa nna kauoga flani hivi.
GB ngapi?Hii nimeanza kuishusha jana na TTCL
IGI ni hatari, kwanza ukicheza mpaka wewe mchezaji unajiona kama ndio Jones, ukimuona Adui anakufata mpaka wewe kiuhalisia moyo unapwita.IGI bana ina raha yake. Kipindi nipo form 1 nlkua da dodge shule pale Azaboy natumia nauli kulipia game. IGI ina uhalisia flani sjui ni kwa vilr life yake sio kama za izi Call of duty.
Mi bado sijanunua laini ya ttcl ila mkuu TTCL kwa sasa inaenda mb ngapi per secondHii nimeanza kuishusha jana na TTCL
Mimi napata 3MBs ila kuanzia saa nane usiku napata had 7MBs nipo kigambon hapa..jamaa wanatisha mkuuMi bado sijanunua laini ya ttcl ila mkuu TTCL kwa sasa inaenda mb ngapi per second