1. Fast five
2. Vampire diaries
3. My town
4. Kanumba
5. Ray
Hiyo ya 4 na 5 ni action au adventure
mdau,umenena kwa wapenda movies ,filamu ni zaidi ya starehe ila uwe umeangalia movie tamu kama hizi hapa
1.Perfume the story of a murder
2.Couples retreat
3.Hitler ,The rising of an evil
4.The Contract
5.Breaking all rules
Watu wanataja bora za 2011 au zozote zikujiazo kichwani ukikumbuka?
Kwa upande wangu bora za 2011 ni kama ifuatavyo...the inbetweener,source code,the hit list,colombiana,Real steel,Friends with benefits,horrible bosses,drive,killer ellite,a lonely place to die,red state,captain america,thor,our idiot brother,catch 44,abduction,hall pass,priest,hangover II,the mechanic,malizia na mr john english reborn.
OTIS
Hizo ni animation kaka... Makatuni tu hayo!!!
Harry Potter eti mi huwa czipendi eti????