Best military trainers in the world

Best military trainers in the world

Sasa waislam wanalilia eti lazima OIC nayenyewe iruhusiwe iingie hapa itatoa misaada kwa tanzanian na waislamu watafaidika....kigezo eti kwanini serikali imeruhusu Vatican wawe na uwakilishi Tanzania wao wanyimwe OIC kuwakilisha waislamu??

Kule nchi za kiarabu zimejaaliwa, hela ndiyo mahali pake angalia viongozi wenu wanaenda kuomba wapi hela , kulehamna masharti unachukua mshiko wako kama umesimama
Hamna dhiki kama nchi za ulaya, na misaada yao haina masharti kama ya ulaya, eti mtu anakwambia sikupi hela hadi uwe shoga.
 
Kwa hiyo Urusi hawamo naona hizi taarifa zinamapungufu Urusi katika intelligence ni noma!

Jeshi la urusi sio imara.Ndio maana lilishindwa kuzuia Urusi kuvunjika vipande vipande.Intelijensi yake KGB haikuwa imara ku-predict mapema nini kitatokea na kizuiwe vipi.Hivyo ndani hata ya shirika la ujasusi la urusi na jeshi la urusi hakukuwa imara.Hivyo kilipotokea cha kutokea hawakuweza kuzuia.

Urusi ilikuwa na jeshi hodari lakini lisilo na uzalendo wala nidhamu ndio maana nchi ya urusi ikasambaratika tofauti na CHINA ambayo pamoja na mageuzi yote ya kisiasa Jeshi limehakikisha nchi inakuwa ya amani na haivunjiki vipande vipande wakati huo huo likisimamia ukuaji uchumi.Ndio maana Urusi haiko katika best military trainers.Sababu even at home they have failed.How can they be best trainers?
 
1.Police training-United kingdom
2.Special forces-USA and ISRAEL
3.Gollilar war,military displine and military organization-CHINA
4.Airforce Training-USA
5.Intelligence-Vatican

Hiyo ni miaka ya zamani. Siku hizi kuna mabadiliko makubwa
 
Jeshi la urusi sio imara.Ndio maana lilishindwa kuzuia Urusi kuvunjika vipande vipande.Intelijensi yake KGB haikuwa imara ku-predict mapema nini kitatokea na kizuiwe vipi.Hivyo ndani hata ya shirika la ujasusi la urusi na jeshi la urusi hakukuwa imara.Hivyo kilipotokea cha kutokea hawakuweza kuzuia.

Urusi ilikuwa na jeshi hodari lakini lisilo na uzalendo wala nidhamu ndio maana nchi ya urusi ikasambaratika tofauti na CHINA ambayo pamoja na mageuzi yote ya kisiasa Jeshi limehakikisha nchi inakuwa ya amani na haivunjiki vipande vipande wakati huo huo likisimamia ukuaji uchumi.Ndio maana Urusi haiko katika best military trainers.Sababu even at home they have failed.How can they be best trainers?

Mkuu, kweli wewe ni eagle wa EAST AFRICA. Warusi wanaintelligence kali sana. Wenyewe ndo waliishauri Russia iziachie zile nchi zisambaratike alafu wapandikize ma KGB wao. Chechnya, Ukraine, georgia kote huko KGB wamejaa. We unafikiri kwanini yule rais wa UKRAINE alikimbilia russia? ni KGB yule. Mpaka dakika hii serikali ya ukraine kuna KGB kibao sana, the same georgia, chechya etc.
Putini alishasema nchi zote zilizojitoa kwenye USSR is our playground.
 
Warusi wanaintelligence kali sana. Wenyewe ndo waliishauri Russia iziachie zile nchi zisambaratike alafu wapandikize ma KGB wao. Chechnya, Ukraine, georgia kote huko KGB wamejaa..


Aliyeisambaratisha Russia ni mwanamke anaitwa
Condoleezza Rice agent wa CIA ambaye ambaye alikuja kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani .Huyu mwanamke alienda kusoma Urusi Chuo cha Moscow state university mwaka 1979.Kule akapata mpenzi wa kiume anaitwa Mikhail Gorbachev ambaye alikuja kuwa raisi wa Urusi.Uhusiano wao ulipelekea Gorbarchev kwa kupitia kwa hawara yake CONDORREZA Rice kuingizwa kuwa agent wa CIA kwa ushawishi wa mwanamke huyo.

Gorbachev aliposhika madaraka ndio akaanzisha sera mbali mbali ambazo zote zilikuwa na lengo la kuyumbisha urusi na kuisambaratisha.Sera hizo zilikuwa kama ile ya mageuzi ya
Perestroika ambayo ililenga kuondoa mfumo wa uchumi uliokuwepo na kuuingiza kwenye mfumo wa kibepari ambao aliuita market socialism kuwalaghai warusi wadhani bado wako kwenye ujamaa ila huu ni wa soko.Laghai mkubwa.


Pia alianzisha sera ya Glasnost ambayo ilikuwa sera ya uhuru wa kujiamulia mambo,uhuru wa habari,na uhuru wa mawazo na kusema chochote hii sera ndio ilisababisha Jamhuri mbali mbali ziamue kujiamulia mambo yao.


Haya yote yalikuwa yakiratibiwa na CIA bila KGB kujua kuwa GORBACHEV alikuwa CIA BUG inside KGB.Walikuja kugundua baadaye Urusi ikiwa imeshakuwa marehemu.
 
Number five, Vatican, scares me a bit!
I used to take Vatican as very peaceful and holly!

Literature zote zinazotumika kwenye Fani ya Intelligence na Protocal (UJASUSI, Usalama na Itifaki )...ASILI yake ni Vatican ...waliofuatia kuandika Baada ya hapo waliendeleza misingi iliyoanzia The Vatican ...A STATE WITHIN A STATE ....
 


Aliyeisambaratisha Russia ni mwanamke anaitwa
Condoleezza Rice agent wa CIA ambaye ambaye alikuja kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani .Huyu mwanamke alienda kusoma Urusi Chuo cha Moscow state university mwaka 1979.Kule akapata mpenzi wa kiume anaitwa Mikhail Gorbachev ambaye alikuja kuwa raisi wa Urusi.Uhusiano wao ulipelekea Gorbarchev kwa kupitia kwa hawara yake CONDORREZA Rice kuingizwa kuwa agent wa CIA kwa ushawishi wa mwanamke huyo.

Gorbachev aliposhika madaraka ndio akaanzisha sera mbali mbali ambazo zote zilikuwa na lengo la kuyumbisha urusi na kuisambaratisha.Sera hizo zilikuwa kama ile ya mageuzi ya
Perestroika ambayo ililenga kuondoa mfumo wa uchumi uliokuwepo na kuuingiza kwenye mfumo wa kibepari ambao aliuita market socialism kuwalaghai warusi wadhani bado wako kwenye ujamaa ila huu ni wa soko.Laghai mkubwa.


Pia alianzisha sera ya Glasnost ambayo ilikuwa sera ya uhuru wa kujiamulia mambo,uhuru wa habari,na uhuru wa mawazo na kusema chochote hii sera ndio ilisababisha Jamhuri mbali mbali ziamue kujiamulia mambo yao.


Haya yote yalikuwa yakiratibiwa na CIA bila KGB kujua kuwa GORBACHEV alikuwa CIA BUG inside KGB.Walikuja kugundua baadaye Urusi ikiwa imeshakuwa marehemu.

Nikipata muda nitakuja na story ya Russia - USSSR YA PRESTREROKA.

NENDA TAFUTA RESOURCES ZA ROLE OF VATICAN UNDER POPE PAUL 2 IN ENDING COLD WAR AND OPENING EUROPE ( eastern )
 


Aliyeisambaratisha Russia ni mwanamke anaitwa
Condoleezza Rice agent wa CIA ambaye ambaye alikuja kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani .Huyu mwanamke alienda kusoma Urusi Chuo cha Moscow state university mwaka 1979.Kule akapata mpenzi wa kiume anaitwa Mikhail Gorbachev ambaye alikuja kuwa raisi wa Urusi.Uhusiano wao ulipelekea Gorbarchev kwa kupitia kwa hawara yake CONDORREZA Rice kuingizwa kuwa agent wa CIA kwa ushawishi wa mwanamke huyo.

Gorbachev aliposhika madaraka ndio akaanzisha sera mbali mbali ambazo zote zilikuwa na lengo la kuyumbisha urusi na kuisambaratisha.Sera hizo zilikuwa kama ile ya mageuzi ya
Perestroika ambayo ililenga kuondoa mfumo wa uchumi uliokuwepo na kuuingiza kwenye mfumo wa kibepari ambao aliuita market socialism kuwalaghai warusi wadhani bado wako kwenye ujamaa ila huu ni wa soko.Laghai mkubwa.


Pia alianzisha sera ya Glasnost ambayo ilikuwa sera ya uhuru wa kujiamulia mambo,uhuru wa habari,na uhuru wa mawazo na kusema chochote hii sera ndio ilisababisha Jamhuri mbali mbali ziamue kujiamulia mambo yao.


Haya yote yalikuwa yakiratibiwa na CIA bila KGB kujua kuwa GORBACHEV alikuwa CIA BUG inside KGB.Walikuja kugundua baadaye Urusi ikiwa imeshakuwa marehemu.

Mkuu, inawezekana hizo nazo zinaweza kuwa sababu, lakini KGB iliwashauri wakuu wa moscow kuziacha zile states zisambaratike ili baadaye waje wazi control ki uchumi, kwani ubepari ulikuwa unakuja kwa kasi. Ndo maana Mzee mwenyewe wa KGB Putin hatoki ikulu ili kusimamia long time plan.
Warusi huwa hawataki kushindwa kituharaka haraka, na wanaumiza akili sana mpaka kupata suluhisho la mambo yanayowatatiza. No matter how long it takes. Sasa Ona, CIA ilijua urusi si tishio tena lakini si unaona mkuu mziki wake?
Tech mpya ya siraha zote......... Na kiuchumi yuko strong sana hasikwambie mtu. USA kila siku wanaenda kuwadhurumu waarabu mafuta lakini russia katulia. Hana mkopo benki ya dunia wala madeni ya ajabu ajabu.
 
Nikipata muda nitakuja na story ya Russia - USSSR YA PRESTREROKA.

NENDA TAFUTA RESOURCES ZA ROLE OF VATICAN UNDER POPE PAUL 2 IN ENDING COLD WAR AND OPENING EUROPE ( eastern )

Naisubiri kwa hamu kubwa ......msikie huyu KGB anavyosema ....................The Canadian reporter, Eric Margolis, described it this way: "I was the first Western journalist inside the KGB headquarters in 1990. The generals told me that the Vatican and the Pope above all was regarded as their number one, most dangerous enemy in the world."
 
Banco Ambrosiano was an Italian bank that collapsed in 1982. At the centre of the bank's failure was its chairman, Roberto Calvi and his membership in the illegal Masonic Lodge Propaganda Due (aka P2). Vatican Bank was Banco Ambrosiano's main shareholder, and the death of Pope John Paul I in 1978 is rumored to be linked to the Ambrosiano scandal. Vatican Bank was also accused of funneling covert United States funds toSolidarity and the Contras through Banco Ambrosiano.
 
Naisubiri kwa hamu kubwa ......msikie huyu KGB anavyosema ....................The Canadian reporter, Eric Margolis, described it this way: "I was the first Western journalist inside the KGB headquarters in 1990. The generals told me that the Vatican and the Pope above all was regarded as their number one, most dangerous enemy in the world."

That is absolutely true ..

Infact ..CIA rely heavily on The Vatican Intelligence Services and Mosad on the most delicate doziers .....,huu mfumo wa Balozi wa nyumba 10 alizoleta Nyerere ambao imefanikisha Sana Usalama na hata majirani kuiga ....Mwalimu alijifunza kwa white fathers ...ambao walikuwa wajiri wake na waliomsomesha ..,wao wanaita Small Christian Communities ...unampa uwezo kiongozi kiutawala hadi familia Za watu ...na kupata taarifa yeyote na Wakati wowote .
 
That is absolutely true ..

Infact ..CIA rely heavily on The Vatican Intelligence Services and Mosad on the most delicate doziers .....,huu mfumo wa Balozi wa nyumba 10 alizoleta Nyerere ambao imefanikisha Sana Usalama na hata majirani kuiga ....Mwalimu alijifunza kwa white fathers ...ambao walikuwa wajiri wake na waliomsomesha ..,wao wanaita Small Christian Communities ...unampa uwezo kiongozi kiutawala hadi familia Za watu ...na kupata taarifa yeyote na Wakati wowote .

Ni kweli kupitia jumuiya ndogo ndogo au fellowship za nyumba kwa nyumba au nyumba kumi au uongozi wa misikiti ya maeneo watu waishio Mtu yeyote yule mbaya taarifa zake zaweza fikia BAKWATA,vatican au raisi kufumba na kufumbua. Ndio maana raisi nyerere haikuwa rahisi kumpindua alikuwa na mifumo miwili ya kupata taarifa ya mtu yeyote KWA KUPITIA SERIKALI AU DINI ENEO LOLOTE WAKATI WOWOTE.
 
yah!!...kuna ukweli hapa..na pengine shirika la JESUIST FATHERS linahusika...pale VATICAN
 
Back
Top Bottom