Best man na Bibi harusi

Selwa

JF-Expert Member
Dec 17, 2010
543
524
Juzi kati nilisafiri kwenda harusi flani ambayo mshkaji alikuwa best man, kikweli wenye harusi sikuwa nawajua nilienda tu kwasababu nilialikwa na pia nilikuwa na mashamba nataka kuyacheki huko mkoani.

Harusi ilifana sana kesho yake rafiki yangu ambaye alikuwa best man akanisindikiza tukaenda kuangalia mashamba huko kijijini mara kwa mara huwa nakodisha mashamba mikoani, jamaa yeye na simu siku nzima hadi ikabidi nimuuulize kimatani ndugu mlimbwende gani huyo kakuteka hivyo, akaanza kucheka, kunionesha picha ni yule mwanamke alielowa yani bibi harusi wa jana.

Jamaa anasema yeye anashangaaa toka wameanza mishe mishe za harusi mwanamke kamganda message kila dakika mara kumcheki kwa sana, sasa nashanga kweli kweli dada zetu sasa kwanini unaolewa kama bado unatamani maisha ya usingle lady, maana jamaa kachat na mwanamke mpaka saa sita usiku tuko bar bado wanachat, mke wa mtu huyo ingekuwa mimi mahari narudisha mke siku ya kwanza honeymoon unachat siku nzima? Halafu hii tabia iko kwa wanawake wengi, wewe umeshaolewa tayari tushakula pilau, usiku wakina Juma na Johny wa nini?
 
huyo mume wake yupo wapi muda wote mpaka mwanamke anapata nafasi ya kuchat kiasi hicho.. na nijuavyo siku ya kwanza baada ya harusi mume huwa karibu sana na mkewe..!!!
Sio siku ya kwanza tu ,ukishaolewa hizi chat za kipumbavu wakati mme yupo karibu hazitakiwi.Maliza mambo yako yote na maxx wako then olewa.
 
Ni kweli Bibi Harusi alikuwa anafanya jambo la AIBU na fedheha.

Binafsi nasita kumlaumu moja kwa moja Kwani Hayo ni matokeo ya Aina ya malezi na makuzi Katika jamii. Nimekuwa vizuri tukakubali kuwa jamii kwa ujumla wake imekengeuka. Kuna mwenzetu alituelezea majuzi jinsi ilivyo lahisi kutongoza wake za watu na ukapewa "mzigo" kwa ulaini.

Wengi tulimkatalia kwa kusema "huku KWETU hayapo"
 
hapo kaolewa tu kuwaonyesha mashost na yy ameolewa na shera kavaa ndio wanawake tulivyo

ukishaamua kuingia kwenye ndoa kila kitu chako kibaya unatakiwa uachane navyo uwe na mumeo sbbu ulishaamua kutulia
Kama kwel vile haya unayoyaongea kile kibabu chako fund viatu kwan ulikaacha ?
 
hapo kaolewa tu kuwaonyesha mashost na yy ameolewa na shera kavaa ndio wanawake tulivyo

ukishaamua kuingia kwenye ndoa kila kitu chako kibaya unatakiwa uachane navyo uwe na mumeo sbbu ulishaamua kutulia
Mkuu yetu tufanye lini?
 
Juzi kati nilisafiri kwenda harusi flani ambayo mshkaji alikuwa best man, kikweli wenye harusi sikuwa nawajua nilienda tu kwasababu nilialikwa na pia nilikuwa na mashamba nataka kuyacheki huko mkoani.

Harusi ilifana sana kesho yake rafiki yangu ambaye alikuwa best man akanisindikiza tukaenda kuangalia mashamba huko kijijini mara kwa mara huwa nakodisha mashamba mikoani, jamaa yeye na simu siku nzima hadi ikabidi nimuuulize kimatani ndugu mlimbwende gani huyo kakuteka hivyo, akaanza kucheka, kunionesha picha ni yule mwanamke alielowa yani bibi harusi wa jana.

Jamaa anasema yeye anashangaaa toka wameanza mishe mishe za harusi mwanamke kamganda message kila dakika mara kumcheki kwa sana, sasa nashanga kweli kweli dada zetu sasa kwanini unaolewa kama bado unatamani maisha ya usingle lady, maana jamaa kachat na mwanamke mpaka saa sita usiku tuko bar bado wanachat, mke wa mtu huyo ingekuwa mimi mahari narudisha mke siku ya kwanza honeymoon unachat siku nzima? Halafu hii tabia iko kwa wanawake wengi, wewe umeshaolewa tayari tushakula pilau, usiku wakina Juma na Johny wa nini?
Hizo ni dalili za uzinifu,hyo mwanamke ni mzinifu na amekaa na huyo mwanaume muda mrefu wakipigana miti haoni hata umuhimu wa honeymoon,maana kama mlikuwa mnalala na kuamka wote miaka 12 hata mkienda honeymoon hamna raha na wala hamuoni kuna jipya!
 
Back
Top Bottom