BEST CMS Application

Thanks kamanda BBC wales naona inafana fanana na BBC mama je inawekzekana hata tovuti ya bbc mama wametumua drupal. Je kuna ayejua TBC yetu wametumia CMS gani . Najua NSSF, TRA wanatumia Joomla



what is this sir? Anyway thanks let me google it

TBC wanatuma Joomla. Bofya hii link inakupeleka moja kwa moja kwenye admin login page: http://www.tbc.go.tz/administrator/ . Mpaka kwenye front end bado kuna sehemu zimeandikwa Joomla. Like "New to Joomla!" Ningependa kujua ni sh ngapi zilitumika kutengeza hii site. Kama site ya shirika la Utangazaji la Taifa, inamiss vitu vingi sana. Unakumbuka, site yao ya kwanza ili crush siku chache baada ya kwenda heweni. Sijui walitumia CMS gani. The best news CMS ambayo nimeiona ni Vivvo. Hii CMS imekuwa specifically designed for a news site. Ni ya kulipia but it worths it. Cheki demo: http://www.vivvo.net/. IPP media, habariLeo na Daily News zinatumia CMS gani. Au ni custom based?
 
Thanks but why does joomla and drupal have a small support base and user commnity compared to Wordpress.?

I was watching a training video from youtube. Some of the comparison he used are e


Nimejaribu kufanya resarch yangi kama intemediate user naona drupal bado haina supprrt comunity kubwa na article mtandaoni kama ilivyo worpress na joomla. Kama una videoau latest link nzuri nipatie mkuu.


Ni kwel kabisa worpress ni rahisi. kwa siku mbili tu nimetengeza TBC version ya BBC. unaweza kuicheki hapa. TBC*|*Just another WordPress site Sasa sijui kati ya haka ka site nilikotengeza na site ya TBC Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC) ipi ni blog na ipi ni tovuti?

Nimecheki imetoka fresh sana. Layout kama ya bbc scotland: BBC - Scotland - Home. Hiyo theme uliyotumia ni ipi? Niliparactice karibu miezi sita kuijua Joomla. Lakini Wordpress haikunichukua hata siku. Unaupdate automatically, the core scripts, plugins na themes. Site ya TBC inahitaji a complete overhaul. TBC kama BBC ina TV kwa hiyo inabidi iwe na vitu kama video section. Ina waandishi wa habari, kwa hiyo inabidi iwe na section ambayo waandhishi watakuwa wanapost articles mbalimbali. The site is not interactive na social media kabisa. Imagine Ze Comedy ambao wanafanya kazi chini ya TBC wana YOUTUBE Channel lakini TBC haina. TV za Kenya zina Youtube Channels lakini za kweli hazina.
 
These people (TBC and the likes) wanahitaji kujua kwamba sisi kama waTZ wenye ujuzi na web dev. na tech in general tunashindwa kuwaelewa. Pengine wamesahau but, the T in TBC stands for Tanzania, and that's us. Mbona web designers wazuri wapo, tena hapa hapa JF! Na wewe web developer wa TBC if you are reading this, you better do your homework. Mwisho wa siku tutawa-hack halafu tu-install CMS of our choice, tuanze kuendesha site. Nyie mtakuwa mnatuma news jamvini, sisi tuna update. I'm just joking but seriously, site haziendani na wadhifa wa kampuni.
 
Nimecheki imetoka fresh sana. Layout kama ya bbc scotland: BBC - Scotland - Home. Hiyo theme uliyotumia ni ipi? Niliparactice karibu miezi sita kuijua Joomla. Lakini Wordpress haikunichukua hata siku. Unaupdate automatically, the core scripts, plugins na themes. Site ya TBC inahitaji a complete overhaul. TBC kama BBC ina TV kwa hiyo inabidi iwe na vitu kama video section. Ina waandishi wa habari, kwa hiyo inabidi iwe na section ambayo waandhishi watakuwa wanapost articles mbalimbali. The site is not interactive na social media kabisa. Imagine Ze Comedy ambao wanafanya kazi chini ya TBC wana YOUTUBE Channel lakini TBC haina. TV za Kenya zina Youtube Channels lakini za kweli hazina.

Hii theme inaitwa the BEEB ni commericial theme lakini nimechaakua sehemu. Yaani ni moja ya theme simple and funny za wordpress nilizowai kuona. Unategeeza tovuti kwa kutumia widgets tu . Widget ya Saa Widgte ya content sllider or scroller. Widget ya category. Widget ya video na audio. Yaani kila kitu una drag na ku drop.

Hao TBC bana unaweza kuambiwa hawana kifungu. Uajua Nilishangaa hata Tido hakubadilisha kitu kwenye mamb ya ICT alioluwa pale . Hivi wanashindwa nini wakati channel za youtube ni bure.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
These people (TBC and the likes) wanahitaji kujua kwamba sisi kama waTZ wenye ujuzi na web dev. na tech in general tunashindwa kuwaelewa. Pengine wamesahau but, the T in TBC stands for Tanzania, and that's us. Mbona web designers wazuri wapo, tena hapa hapa JF! Na wewe web developer wa TBC if you are reading this, you better do your homework. Mwisho wa siku tutawa-hack halafu tu-install CMS of our choice, tuanze kuendesha site. Nyie mtakuwa mnatuma news jamvini, sisi tuna update. I'm just joking but seriously, site haziendani na wadhifa wa kampuni.

Givnelity uko right kabisa once nilipiwapigia simu. ilikuwa kazi upata number yao. Na hiloni shirika la habari la nchi..... Sasa kichekesho nilivyotoa maoni nikaambiwa hayo mambo nayosema wameyaongea juzi tu kwenye kikao( ilikuwa kama miaka miwili iliyopita). Na wakasema sooon watayarekebisha.

Mpaka leo naona Soon bado . jaribu kucheki zile link a youtube kwenye tovuti yao zinaelezea nn. Alafu ulizia hiyo tovuti inakuwa mantained kwa kiasi gani kwa mwezi.

kinachonishangaza mbona ku uplload video au Audio hata mtu wa for IV anaweza.

Kama vipi Leo asubuhi tuwawashauri moto wakipatikana wadau kama watano hivi labda they will do something. Number zao hizi +25522270062 5522270032 na +25522 2132340.

Wanaweza kuanzisha hata shindano( la watu binafis soi makampuni) kutumia freelancer. ili wadau tuwatumie jinsi web yao inavytakiwa kuwa. Wakiridhika na presentation nzuri wanampatia freelance aliyetoa ile idea mshiko kiduchu tu then wanatumia ile presentaion na design yake . kuwaaambia hao "wahindi" ( web Developer companies wawetengezee site kama ailiyo design freelancer. Hivi ndio baadhi ya kampuni za nje zinafanya kupata tovuti nzuri na wakati huo huo kusaidia katika kuendeleza ubinifu wa vijana.
 
Hapo kwenye mail sijakupata vizuri lakini hizo nyingine zote unaweza ukatumia Joomla bila taabu ingawa ukitaka kupata manufaa zaidi itabidi utumie commercial components/modules/plugins (bei huwaga sio mbaya). Kuna uwezekano vile vile kutumia components za chee lakini ni vizuri zaidi kama ukitoboka mfuko kidogo!

Kitu ninachopendea Joomla ni wachangiaji wengi ambao wako tayari kutoa msaada pale mambo yanapokuwa magumu. Nimetumia CMS nyingi lakini tatizo wengine ni wachoyo sana (that's my personal opinion)!

Joomla: www.joomla.org

ulichosema ni sawa kabisa,joomla wana components nyingi na bei huwa ni reasonable,ila yeye alitaka Face book look alike script,kimsingi Face book haina mfano wake.hardware architecture and software,hivyo basi itabadi awaone face book wenyewe,plus sioni umuhimu wa uwa na FB like system(mtazamo wangu).
bora atumie Joomsocial.
 
Givnelity uko right kabisa once nilipiwapigia simu. ilikuwa kazi upata number yao. Na hiloni shirika la habari la nchi..... Sasa kichekesho nilivyotoa maoni nikaambiwa hayo mambo nayosema wameyaongea juzi tu kwenye kikao( ilikuwa kama miaka miwili iliyopita). Na wakasema sooon watayarekebisha.Mpaka leo naona Soon bado . jaribu kucheki zile link a youtube kwenye tovuti yao zinaelezea nn. Alafu ulizia hiyo tovuti inakuwa mantained kwa kiasi gani kwa mwezi.kinachonishangaza mbona ku uplload video au Audio hata mtu wa for IV anaweza.Kama vipi Leo asubuhi tuwawashauri moto wakipatikana wadau kama watano hivi labda they will do something. Number zao hizi +25522270062 5522270032 na +25522 2132340. Wanaweza kuanzisha hata shindano( la watu binafis soi makampuni) kutumia freelancer. ili wadau tuwatumie jinsi web yao inavytakiwa kuwa. Wakiridhika na presentation nzuri wanampatia freelance aliyetoa ile idea mshiko kiduchu tu then wanatumia ile presentaion na design yake . kuwaaambia hao "wahindi" ( web Developer companies wawetengezee site kama ailiyo design freelancer. Hivi ndio baadhi ya kampuni za nje zinafanya kupata tovuti nzuri na wakati huo huo kusaidia katika kuendeleza ubinifu wa vijana.
Sawa Mtazamaji mimi nitapiga. Wakuu mtapiga simu kwa TBC kuwaelezea ubovu wao?
 
ulichosema ni sawa kabisa,joomla wana components nyingi na bei huwa ni reasonable,ila yeye alitaka Face book look alike script,kimsingi Face book haina mfano wake.hardware architecture and software,hivyo basi itabadi awaone face book wenyewe,plus sioni umuhimu wa uwa na FB like system(mtazamo wangu).
bora atumie Joomsocial.

Thanks mkuu Nimetaja fb ili wataalam wachangie kwa kutaja solutions nyingine zenye similar fucntion kama FB na sio kwamba nataka kuwa na "FB" as it is au nataka kuwa na " ebay" au online shop.

Nimeweka scenario mbali mbali za CMS hii ili wadau watoe uzoefu wao unaoweza kuwasaidi watu wengi wasiingie gharama kubwa au wawe na info za Power of Open surce CMS.

Client akiwa na info japo kidogo basi hata developer atatengenza kitu kizuri na gharama fair. Lakini tovuti kama za TBC ina poor quality bado unaweza kukuta walitumia gharama kubwa sana kama vile ile imetengezwa from scratch.

Sio developer wengi wanawambia client wao kuwa wametumia open source CMS.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Jana na leo nimekuwa nikitengeneza website mpya nilianza na Joomla ni nzuri ila kuna plugin ya muhimu kwangu(Disqus) haijawa apdated wa ajili ya version mpya ya Joomla, nikajaribu version ya zamani nikakutana na bugs zengine.

Nikahamia Drupal, sio user friendly hii kitu, ila very powerful kama uko tayari kutumia muda au resources nyingi kuisetup itakufaa kama unataka kutengeneza web haraka stay away. Pia nikakumbana na tatizo ya baadhi ya plugins hazipo updated to new version.

Nimeishia kurudi Wordpress, easy to use, plugins nyingi na nzuri na zote ninazohitaji zinafanya kazi kwenye latest version. Wordpress ina reputation ya kuwa slow, na hizi hosting account za shared hazina resources nyingi. Nadhani naihisi site iko slower than Joomla or Drupal, ila sio tatizo kwa sasa.
 
Jana na leo nimekuwa nikitengeneza website mpya nilianza na Joomla ni nzuri ila kuna plugin ya muhimu kwangu(Disqus) haijawa apdated wa ajili ya version mpya ya Joomla, nikajaribu version ya zamani nikakutana na bugs zengine.

Nikahamia Drupal, sio user friendly hii kitu, ila very powerful kama uko tayari kutumia muda au resources nyingi kuisetup itakufaa kama unataka kutengeneza web haraka stay away. Pia nikakumbana na tatizo ya baadhi ya plugins hazipo updated to new version.

Nimeishia kurudi Wordpress, easy to use, plugins nyingi na nzuri na zote ninazohitaji zinafanya kazi kwenye latest version. Wordpress ina reputation ya kuwa slow, na hizi hosting account za shared hazina resources nyingi. Nadhani naihisi site iko slower than Joomla or Drupal, ila sio tatizo kwa sasa.

Wordpres ina reputation ya kuwa slow zaidi ya Jooma? Nafikiri ni the opposite. Kwa kawaida site inaanza kuwa slow kulingana na third party plugins/modules ambazo umeongeza. B'se kuna plugins/modules nyingine zina bug au ziko slow kulingana na zilivyokuwa coded. Pia note kuna plugins/modules nyingine zimekuwa coded na wanafunzi kama dissertations/projects zao mashuleni. Tatizo la wordpress ni kwamba kama utataka kujifunza mautundu, then sidhani kama utajifunza mengi be'se everything is set up. Hata kufanya updates ni automatically. Tatizo kubwa la Joomla lilikuwa security. Walisema watafix kwenye version 1.6, but I have not tested it yet.

By the way nimeona kwenye blogger, siku hizi badaya kuwa na kwa mfano emt.blogspot.com unaweza kuwa emt.com
 
Wordpres ina reputation ya kuwa slow zaidi ya Jooma? Nafikiri ni the opposite. Kwa kawaida site inaanza kuwa slow kulingana na third party plugins/modules ambazo umeongeza. B'se kuna plugins/modules nyingine zina bug au ziko slow kulingana na zilivyokuwa coded. Pia note kuna plugins/modules nyingine zimekuwa coded na wanafunzi kama dissertations/projects zao mashuleni. Tatizo la wordpress ni kwamba kama utataka kujifunza mautundu, then sidhani kama utajifunza mengi be'se everything is set up. Hata kufanya updates ni automatically. Tatizo kubwa la Joomla lilikuwa security. Walisema watafix kwenye version 1.6, but I have not tested it yet.

By the way nimeona kwenye blogger, siku hizi badaya kuwa na kwa mfano emt.blogspot.com unaweza kuwa emt.com

Yeah Wordpress iko slow.
Hiyo unayosema haujifunzi kitu ndo majority ya watu wanataka, watu wanataka kusetup website kwa haraka iwezekanavyo hawataki kujifunza web development, kama dereva anayetaka gari linalofanya kazi bila kujua chochote kuhusu internal combustion engine.
Blogspot kama unataka domain yako inabidi uilipie, sio bure.
 
Yeah Wordpress iko slow.
Hiyo unayosema haujifunzi kitu ndo majority ya watu wanataka, watu wanataka kusetup website kwa haraka iwezekanavyo hawataki kujifunza web development, kama dereva anayetaka gari linalofanya kazi bila kujua chochote kuhusu internal combustion engine.
Blogspot kama unataka domain yako inabidi uilipie, sio bure.

Sasa mtu akilipia anakuwa na access zaidi in the backed. Kama server, databases, etc?
 
Sasa mtu akilipia anakuwa na access zaidi in the backed. Kama server, databases, etc?
Hakuna unaunganisha domain yako na blogspot tu, hata sio lazima uinunue kwao.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
..................................

By the way nimeona kwenye blogger, siku hizi badaya kuwa na kwa mfano emt.blogspot.com unaweza kuwa emt.com

sijui kama ni uamuzi mzuri i mtu kuaamua kuwa na blog yenye dedicated domain name ya alafu bado una nga'a ng'a we web host yenye restriction. ambayo haikupia acess ya backend.

Kuna some free webshost services package ambazo unaweza kutumia domain name yako na bado ukawa na acess to backend database.
 
These people (TBC and the likes) wanahitaji kujua kwamba sisi kama waTZ wenye ujuzi na web dev. na tech in general tunashindwa kuwaelewa. Pengine wamesahau but, the T in TBC stands for Tanzania, and that's us. Mbona web designers wazuri wapo, tena hapa hapa JF! Na wewe web developer wa TBC if you are reading this, you better do your homework. Mwisho wa siku tutawa-hack halafu tu-install CMS of our choice, tuanze kuendesha site. Nyie mtakuwa mnatuma news jamvini, sisi tuna update. I'm just joking but seriously, site haziendani na wadhifa wa kampuni.

Tusibiri Al Ajezeera waazishe tuu website ya Kiswahili. Tutafaidi sana kuanzia mwakani. Ukiangalia kazi walizotangaza jana mojawapo ni:


Manager, Online, Al Jazeera Kiswahili


The Manager, Online is responsible technically and editorially for the input and presentation of the Al Jazeera Kiswahili website. The Manager, Online will develop and implement the channel news strategy across the website, supervise web news editors to drive news coverage, and coordinate Al Jazeera Kiswahili's webs teams, correspondents and contributors in the newsroom and across the region.

The successful candidate must have an awareness of how social media can be used not only as a tool for newsgathering, analysis and commentary but also to promote the website and its content and drive readership.
The successful candidate must have at least five years' experience within the online / web space. Journalism experience and fluency in Kiswahili are required.

Tayari domain name: Aljazeera Kiswahili

Sasa sijui kama TBC wana mtu kama huyo. Na kama yupo, then atakuwa analipwa mshahara bure.
 
Tusibiri Al Ajezeera waazishe tuu website ya Kiswahili. Tutafaidi sana kuanzia mwakani. Ukiangalia kazi walizotangaza jana mojawapo ni:


Manager, Online, Al Jazeera Kiswahili


The Manager, Online is responsible technically and editorially for the input and presentation of the Al Jazeera Kiswahili website. The Manager, Online will develop and implement the channel news strategy across the website, supervise web news editors to drive news coverage, and coordinate Al Jazeera Kiswahili’s webs teams, correspondents and contributors in the newsroom and across the region.

The successful candidate must have an awareness of how social media can be used not only as a tool for newsgathering, analysis and commentary but also to promote the website and its content and drive readership.
The successful candidate must have at least five years’ experience within the online / web space. Journalism experience and fluency in Kiswahili are required.


Tayari domain name: Aljazeera Kiswahili

Sasa sijui kama TBC wana mtu kama huyo. Na kama yupo, then atakuwa analipwa mshahara bure.

Sio TBC tu sidhani kama Tanzania kuna TV Media yoyote yenye post au s pecilisation za hivi. Job description na kazi zetu bongo ni too genaral. Unakuta mtu umeajiriwa kama Netwaork admin lakini unagusa gusa kila kitu mara database mara mtu kashindwa kulog......

So sio rahisi kazi kama hii mtanzania anayefanya kai tanania kupata hii kazi . Maana Ukiangalia Tovuti zetu mmm. Hawana twiiter ,wala facebook account. Hata wakijaribu hawawezi maana hawana cha kurefer.
 
i have had an opportunity to use drupal, wordpress (most of my websites) and expressionengine and here's my take:
wordpress: nice backend, anybody can manage the site content without having to train much, if you are good in php, you can do any kind of site, easy to learn if you are patient and very popular hence the support is great but most core functionalities of a cms are available by hacking it, in wordpress 3 the added custom post type but still u need to be good in php to get a grasp but it was voted the best cms of last year i think so. also the theme system not good because it makes u follow some rules on how to theme a custom theme (e.g site i done with wordpress is DSTL,Web Design In Arusha, The Best Website Designers in Tanzania,Web and Graphics Designers in Arusha, Arusha City Guide, Dar es salaam City Guide, Web Design in Tanzania,Arusha Tanzania Website, DSTL Website, Kilimanjaro Clinical Research Institute , tanzania-dmc.com, onestopmarketingtz.com )

drupal: not very nice backend, the most cms of the opensource cmss (it is better than joomla(which is ****), and wordpress as a cms) however u need to be a good programmer to make a useful site in it and cck is a great addition to it and you can create different types of content using cck, advice: don't go there if you are not ready to get your hands dirty and start coding (e.g private site can't display here)

expressionengine: very nice backend with a little training, it is commercial (300 USD/licence), good support from the ellislab team, the best and easiest cms in terms of creating different types of contents, the best choice if you don't want to learn the difficult php language, no limitation and /or assumption (even the default page is a blank page). you just need to know html+css to create an EE site, after tying EE, i never want to go back to those open source alternatives (D'Souza & Company Advocates, Uptown Hotelpress Bed & Breakfast, asiliexplorer.com)
 
...Lakini ukipata mtaalamu mzuri wa ku customise, Drupal ni nzuri sana.
Kaka nishatumia Drupal nimeikubali sana TATIZO linabaki kwenye SUPPORT tu WAKO CHINI SANA sio kama Joomla.
Kama ni shilingi basi nawapa Joomla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom