OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,237
- 103,890
Katika mtandao wake wa Simba App, Simba imetoa taarifa ya BM3 kuomba msamaha kwa makosa ya kunidhamu. Menejiment ya Simba imemsamehe kiungo huyo na ametakiwa kurudi kambini Mo Simba Arena.