white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,880
Lakini ukimya wake tu jamaa!! Hajiamini,Anatapatapa huyo! Si alisema niguse ninuke kaguswa mbona hakunuka
Lakini ukimya wake tu jamaa!! Hajiamini,Anatapatapa huyo! Si alisema niguse ninuke kaguswa mbona hakunuka
the CCM secretariat!!
Mayalla p, kamshauri membe awe mzalendo aombe radhiMwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Wewe mwongo sana, thibitisha au umekosa ya kusema?Hakuna mtu mwoga kama membe
Niguse kinukeMwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Never, in a million years.your nightmare!
Maneno ya watu wa pwani hayo kaka wewe huyawezi.Hataomba radhi au hataomba msamaha???.![]()
Halafu ni kwa tiketi ya ccmAombe msamaha achekwe huku bado ana ndoto za kuwania uraisi 2020?
Maneno ya watu wa pwani hayo kaka wewe huyawezi.
Topic ni Membe na CCM mkuuBasi hapo chadema mtashangilia kweli kweli!
Na muweke akiba ya maneno maana wakigeuka mnaanza tena kulia.
Membe ni mwanasiasa huyo hana tofauti na Kinana au Msigwa.