Ni sababu zipi za msingi zinazopelekea kuamini kuwa mtu hawezi kuwa rais bora wa Tanzania hadi awe member nec ya ccm? ina maana chadema,cuf,tlp,nccr n.k hawawezi kutoa rais bora kwa kuwa hawezi kuwa member wa nec-ccm? na je hakuna mwanaccm yoyote ambae si member wa nec awezaye kuwa rais bora?
Ni sababu zipi za msingi zinazopelekea kuamini kuwa mtu hawezi kuwa rais bora wa Tanzania hadi awe member nec ya ccm? ina maana chadema,cuf,tlp,nccr n.k hawawezi kutoa rais bora kwa kuwa hawezi kuwa member wa nec-ccm? na je hakuna mwanaccm yoyote ambae si member wa nec awezaye kuwa rais bora?
msafala wa mamba na kenge wamo kwa uwezo anayefaa ni wasira.
magamba mnagombana nini mtamfanya mke wenu caf kujifunguwa siku si zake
Kweli mkuu. Rweyrmamu yuko wapi siku hizi na anafanya niniMkuu ukisoma vizuri jamaa amesema "alituita waandishi wa habari" na kusema wako wangapi ni vile waandishi nao wameingia kwenya mtego wa makundi ya CCM, kila anayetaka uongozi ndani ya CCM lazima awe na waandishi wake mfukoni, mifano ni mingi lakini fasta fasta hembu mkumbuke RWEYEMAMU jamaa ni kichwa kwenye uandishi lakini akaisaliti kalamu na karama yake 2005 na malipo yake si unaona alipo sasa?