Membe hakupata NEC....kihalali safari hii ...itifaki imembeba.....kuna Kijana mmoja ambaye baba yake alikuwa waziri wa kilimo Enzi za mwalimu...alikatwa...akawekwa Membe.....NDUGU WANABODI,
Kuna taarifa kwamba Waziri wa Manbo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe ame-engage wanasheria wake dhidi ya Ndg. Hussein Bashe, Kada wa Chama Cha Mapinduzi asiye na wadhifa wowote ule, juu ya kumkashifu na kumuita na kumshambulia kwa maneno makali yasiyo saizi ya heshima aliyonayo Waziri membe. Mhe. Membe ameamua kumburuza kortini Ndg Bashe mnamo siku ya Jumatatu ijayo, kwa mujibu ya jopo la wanasheria wake watatu maarufu na mahiri. Ndg. Bashe, siku moja kabla ya Mkutano Mkuu wa Nane Dodoma alituita waandishi wa habari na kutueleza kuwa "...Membe hafai hata kupewa ubalozi wa nyumba kumi kwa kuwa ni muongo, mnafiki na amezoea kuishi kwa kubebwa..."
Itakumbukwa Mhe Membe alikuwa ni mgombea maarufu na mahsusi wa U-NEC wajumbe kumi na akina Bashe na Lowassa walikuwa kwenye jitihada za hali ya juu kuhonga pesa ili asipite katika kinyang'anyiro kile sambamba na uhamasishaji mkubwa waliokuwa wakiufanya pia kutaka Rais JK ambaye pia alikuwa ni mgombea wa Kiti Taifa cha CCM apate kura za Hapana ili kumuaibisha, ikiwa ni pamoja na hoja ya Hussein Bashe na kundi lake kutaka Uenyekiti wa CCM utenganishwe na U-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkutano huu baina ya waandishi wa habari na Ndg Bashe ulichukuliwa kama sehemu ya mkakati madhubuti wa kutaka kuhakikisha Membe anaaibika na anashindwa uchaguzi ule ili kumkatisha tamaa na kumshusha hadhi kama mgombea Urais haswa ukizingatia kuwa Mkutano Mkuu ule ndiyo utakaopitisha jina la mgombea wa Urais wa CCM 2015; kinyume na mipango na fitna zao, pamoja na hela walizohonga aliibuka kidedea akishika nafasi ya sita bila kutoa hongo wala kuzunguka mikoani kutafuta kura, jambo ambalo liliwashangaza sana wanaCCM na wanahabari wengi waliokuwepo Mkutanoni pale - hali ambayo ilidhihirisha kuwa Membe ana umaarufu wa kutosha kushinda URais huku akigombea kwa kufuata misingi yote ya uadilifu. Pia ikizingatiwa kuwa mshindani wake mkubwa Mhe Lowassa aliliogopa kundi la kifo la NEC na kwenda kugombea UNEC jimboni kwake Monduli.
Membe hakupata NEC....kihalali safari hii ...itifaki imembeba.....kuna Kijana mmoja ambaye baba yake alikuwa waziri wa kilimo Enzi za mwalimu...alikatwa...akawekwa Membe.....
Ningekuwa Bashe ningeanza Somalia. Bora apelekwe mahakamani tujuwe aliyemtuma.
NDUGU WANABODI,
Kuna taarifa kwamba Waziri wa Manbo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe ame-engage wanasheria wake dhidi ya Ndg. Hussein Bashe, Kada wa Chama Cha Mapinduzi asiye na wadhifa wowote ule, juu ya kumkashifu na kumuita na kumshambulia kwa maneno makali yasiyo saizi ya heshima aliyonayo Waziri membe. Mhe. Membe ameamua kumburuza kortini Ndg Bashe mnamo siku ya Jumatatu ijayo, kwa mujibu ya jopo la wanasheria wake watatu maarufu na mahiri. Ndg. Bashe, siku moja kabla ya Mkutano Mkuu wa Nane Dodoma alituita waandishi wa habari na kutueleza kuwa "...Membe hafai hata kupewa ubalozi wa nyumba kumi kwa kuwa ni muongo, mnafiki na amezoea kuishi kwa kubebwa..."
Itakumbukwa Mhe Membe alikuwa ni mgombea maarufu na mahsusi wa U-NEC wajumbe kumi na akina Bashe na Lowassa walikuwa kwenye jitihada za hali ya juu kuhonga pesa ili asipite katika kinyang'anyiro kile sambamba na uhamasishaji mkubwa waliokuwa wakiufanya pia kutaka Rais JK ambaye pia alikuwa ni mgombea wa Kiti Taifa cha CCM apate kura za Hapana ili kumuaibisha, ikiwa ni pamoja na hoja ya Hussein Bashe na kundi lake kutaka Uenyekiti wa CCM utenganishwe na U-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkutano huu baina ya waandishi wa habari na Ndg Bashe ulichukuliwa kama sehemu ya mkakati madhubuti wa kutaka kuhakikisha Membe anaaibika na anashindwa uchaguzi ule ili kumkatisha tamaa na kumshusha hadhi kama mgombea Urais haswa ukizingatia kuwa Mkutano Mkuu ule ndiyo utakaopitisha jina la mgombea wa Urais wa CCM 2015; kinyume na mipango na fitna zao, pamoja na hela walizohonga aliibuka kidedea akishika nafasi ya sita bila kutoa hongo wala kuzunguka mikoani kutafuta kura, jambo ambalo liliwashangaza sana wanaCCM na wanahabari wengi waliokuwepo Mkutanoni pale - hali ambayo ilidhihirisha kuwa Membe ana umaarufu wa kutosha kushinda URais huku akigombea kwa kufuata misingi yote ya uadilifu. Pia ikizingatiwa kuwa mshindani wake mkubwa Mhe Lowassa aliliogopa kundi la kifo la NEC na kwenda kugombea UNEC jimboni kwake Monduli.
km kawida ma agent kazini baada ya kizota kufungwa, kazaneni kumuosha membe mwaweza pata hata u DC au viti maalumNDUGU WANABODI,
Kuna taarifa kwamba Waziri wa Manbo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe ame-engage wanasheria wake dhidi ya Ndg. Hussein Bashe, Kada wa Chama Cha Mapinduzi asiye na wadhifa wowote ule, juu ya kumkashifu na kumuita na kumshambulia kwa maneno makali yasiyo saizi ya heshima aliyonayo Waziri membe. Mhe. Membe ameamua kumburuza kortini Ndg Bashe mnamo siku ya Jumatatu ijayo, kwa mujibu ya jopo la wanasheria wake watatu maarufu na mahiri. Ndg. Bashe, siku moja kabla ya Mkutano Mkuu wa Nane Dodoma alituita waandishi wa habari na kutueleza kuwa "...Membe hafai hata kupewa ubalozi wa nyumba kumi kwa kuwa ni muongo, mnafiki na amezoea kuishi kwa kubebwa..."
Itakumbukwa Mhe Membe alikuwa ni mgombea maarufu na mahsusi wa U-NEC wajumbe kumi na akina Bashe na Lowassa walikuwa kwenye jitihada za hali ya juu kuhonga pesa ili asipite katika kinyang'anyiro kile sambamba na uhamasishaji mkubwa waliokuwa wakiufanya pia kutaka Rais JK ambaye pia alikuwa ni mgombea wa Kiti Taifa cha CCM apate kura za Hapana ili kumuaibisha, ikiwa ni pamoja na hoja ya Hussein Bashe na kundi lake kutaka Uenyekiti wa CCM utenganishwe na U-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkutano huu baina ya waandishi wa habari na Ndg Bashe ulichukuliwa kama sehemu ya mkakati madhubuti wa kutaka kuhakikisha Membe anaaibika na anashindwa uchaguzi ule ili kumkatisha tamaa na kumshusha hadhi kama mgombea Urais haswa ukizingatia kuwa Mkutano Mkuu ule ndiyo utakaopitisha jina la mgombea wa Urais wa CCM 2015; kinyume na mipango na fitna zao, pamoja na hela walizohonga aliibuka kidedea akishika nafasi ya sita bila kutoa hongo wala kuzunguka mikoani kutafuta kura, jambo ambalo liliwashangaza sana wanaCCM na wanahabari wengi waliokuwepo Mkutanoni pale - hali ambayo ilidhihirisha kuwa Membe ana umaarufu wa kutosha kushinda URais huku akigombea kwa kufuata misingi yote ya uadilifu. Pia ikizingatiwa kuwa mshindani wake mkubwa Mhe Lowassa aliliogopa kundi la kifo la NEC na kwenda kugombea UNEC jimboni kwake Monduli.
Membe anajua hakushinda hawezi kwenda kokote kwani aliyoyasema Bashe hakuna la uongo, Membe na Mukama kura za itifaki zilimbeba! Hadi LE Mutuz alikuwa kampita, zile kura zilikuwa ni za Godfrey Kunambi, busara ikatumika kumpa Membe, hata yeye anajua nguvu ya kundi hasimu hawezi fanya upuuzi!
Membe anajua hakushinda hawezi kwenda kokote kwani aliyoyasema Bashe hakuna la uongo, Membe na Mukama kura za itifaki zilimbeba! Hadi LE Mutuz alikuwa kampita, zile kura zilikuwa ni za Godfrey Kunambi, busara ikatumika kumpa Membe, hata yeye anajua nguvu ya kundi hasimu hawezi fanya upuuzi!
Mkuu asante kwa habari ila umeileta kishabiki kweli, umesema H.Bashe aliwaita waandishi wa habari sasa nashindwa kuelewa kama wewe muandishi wa habari unaandika kishabiki namna hiyo tutapataje habari za uhakika? maana umemfagilia kweli MEMBE, poa lakini kila la kheri katika kazi yako jap[o kwa staili hiyo munafanya tuzidi kuwa na maswali mengi juu ya uadilifu wa uandishi wenu.
Ningekuwa Bashe ningeanza Somalia. Bora apelekwe mahakamani tujuwe aliyemtuma.
Ndio maana unajiita Fisadi Mtoto ,jina lako linaendena na matendo yako na ya kaka yako/mzee wako Fisadi Lilokubuhu!Wewe ni mgonjwa wa akili kwa kweli....membe kapitwa hata na shugera ndio unasema mgombea urais bas sema shigera ni rais kabisa
Membe hafai hata kidogo ingawa ww unamtetea kiongozi kama Membe hafai akiteuliwa na ccmafisi kugombea urais na kupata kweli tutakuwa tunarudia haya haya tunayoyaona ss. Hana udilifu hata kidogo anapenda kulipiza kisasi na akitaka kitu yuko tayari hata kuua. Alianzisha kesi katika wizara yake ili baadhi ya viongozi watoke na yeye kuweka watu wake na kweli amefanikiwa. Kama mtakumbuka iliyosemwa kuwa wizi wa mabilioni ikulu yote ile ilikuwa ni njama zake yeye ili afisa itifaki atolewe ili amweke wa kwake kwa ajili ya kupata habari kutoka kwa kikwete. Na kweli juhudi zake zimefanikiwa akishirikiana na Rizwani. Kesi imeisha na hakuna pesa zilizoibiwa, ilikuwa ni mambo ya kiofisi tu na hata yeye alikiri hivyo na kusema wangemaliza uchunguzi tangu mwezi wa nane lakini mpaka sasa Membe kagoma kuwarudisha kazini na bado wako nje na wanapokea mshahara pasipokufanya kazi. Kesi hawana sasa kuna haja gani kuzidi kuwasimamisha. Membe acha majungu na wivu na kuchafuliana majina.