GE2020 Bernard Membe hana kabisa mvuto!

Mtajijua wenyewe CCM ni mbele kwa mbele.

Interest yangu kwenye huu uchaguzi ni kuona vyama vya upinzani watapata ruzuku kiasi gani maana walichezea sana pesa za walipa kodi bila kunawa mikono. Watanzania sio wajinga.
 
Low energy Membe ndo kiongozi safi?

Unataka wapayukaji?

Urais ni zaidi ya kupayuka payuka na kuongea kwa kufokafoka na mahasirahasira hadi kutishia kupiga wanawake.

Urais ni kuarticulate mipango yako ya maendeleo na ukaeleweka kirahisi
Siyo Magufuli wala Lissu wenye kuongea issues zamaendeleo ya wananchi clearly kama Membe
 
Membe kaongelea ishu gani zaidi ya kutoa ahadi ya kuwaachia uamsho?
 

Act hauna ubavu wa kuivimbishia misuli CHADEMA iliyokaa kitaasisi. Nyie ni kama chama cha dawa chenye wafuasi wa mtu (maalim)., chanya cha overnight.

Kura za zanzibar ni kitakwimu ni saa na total votes za jimbo moja tu la Ubungo ambalo ni mgome ya chadema. Hali kadharika hamna viongozi wenye ushawishi tofaut na chadema. Pia hamjafika level ya kuaminiwa na umma kuliko Chadema.

Kushinda zanzibar ni lazima mpate backup ya chadema otherwise saa2 asubuh ccm watawapiga tena.
 

... mtoa mada ni Pro-JPM.

... fuatilia mada zake za zamani utaona anavyomkandia TL.

... labda ameona BCM ni tishio ndio maana akaanzisha mada hii.
 

Membe kaondoka Ccm na ndugu zake kule Mtwara yani hata watu 150 hawafiki, hapa ndio Dr. Slaa alikuwa anauliza je huyu ni asset au liability? Jibu unalo.
 
Membe kaongelea ishu gani zaidi ya kutoa ahadi ya kuwaachia uamsho?

Katafute hotuba zake kwenye mikutano. mikuu ya ACT uone anavyoarticulate vision zake kwa details na umahiri mkubwa.

By the way, Issue ya Masheikh ni issue muhimu sana maana ni human right issue, inahusu haki za wananchi. Kama wewe unaona ni kitu kidogo hicho basi mbele ya ACT wazalendo hicho ni kitu kikubwa sana maana ACT inathamini haki za binadamu na kisheria za wananchi.

By the Way hata Lissu naye amesema akiingia madarakani atawatoa hao Masheikh, Kwa hiyo kama Membe na Lissu wanataka masheikh hao watoke ni Magufuli peke yake labda anayetaka wabaki ndani kinyume cha sheria!

Subiri kampeni zianze watu waanze kumwaga sera kikamilifu, sasa hivi wanachomekea chomekea tu kwa mbali ili wasije wakawa disqualified kwa kuanza kampeni kabla ya muda!
 
..mtoa mada ni pro-jpm.

..fuatilia mada zake za zamani utaona anavyomkandia TL.

..labda ameona BCM ni tishio ndio maana akaanzisha mada hii.

Wewe naona umemsoma huyu jamaa, anatumika kutaka kutengeneza divide and rule ili kutugawa sisi pro opposition. Kaona akianza kumshabulia Lissu direct watu watamshukia kama mwewe humu, alijaribu kumshambulia Lissu kupitia ishu ya korona, ikabuma, Sasa anatumia strategy ya kumshambulia Membe ili sisi pro Membe tuanze kumshambulia Lissu, na ili uongozi wa ACT uingie hasira uende na Membe na Chadema waende na Lissu halafu kuwepo mgawanyiko then atakua ameua ndege wawili kwa jiwe moja!. Tuwe makini!
 
Nyani Ngabu (Muanzisha Mada) mbona sio Chadema Mkuu
 
Nyani Ngabu (Muanzisha Mada) mbona sio Chadema Mkuu

Huyo ni pro JPM, kaanzisha mada ili kutugonganisha ACT na CHADEMA then watu wa pro Chadema wakaanza kumshambulia mgombea wa ACT ndugu Membe.

Watu wasichokijua ni kuwa Pro Magufuli na Magufuli wangependa ACT na CHADEMA wasiaminiane na ikibidi wavurugane ili kila chama kisimamishe mgombea wagawane kura!

I think ndiyo maana ya hizi mada za kushambulia upande mmoja ili tuvurugane
 
Akipenda chongo huita kengeza. Membe hamna kitu kwenye kuongea na kufanya watu wavutiwe kuendelea kumsikiliza.
N.B. Mimi sina chama.
 
Lissu akienguliwa heri mbowe, nyalandu au Zitto ,Membe hana mvuto kabisa

Aenguliwe kwa sababu gani na magufuli akienguliwa nani atabaki, hakuna mtu kuenguliwa Sifa zote anazo kwanini aenguliwe kirahisirahisi hivo watu tunataka kiongozi atokane na uchaguzi siyo kuchaguliwa na NEC kama inaweza kuchagua yenyewe isiwe inaitisha uchaguzi
 
Akipenda chongo huita kengeza. Membe hamna kitu kwenye kuongea na kufanya watu wavutiwe kuendelea kumsikiliza.

Hatuchagui MC, tunachagua kiongozi

Sasa utamlinganisha Jiwe na Membe kwenye kuongea?

Jogoo hoyee!
Nitapiga mashangazi!
Serikali haina shamba!
Unataka kupanuliwa wapi?
Makamu wa raisi mweupe
Sisomeshi wazazi!
Nikupe mshahara, magari kisha umtangaze mpinzani kushinda?
Intapentipenteprenuwaship

Kama anayeongea hayo kaweza kuwa rais, ndo atashindwa Membe, mtu mwenye kutema point tupu kila akiongea?

Labda wewe unapenda mashamsham na siyo substance, kama unapenda substance basi Membe ni class ya juu sana kuliko Jiwe!
 
Wajumbe wabaya sana, walimdanganya huyu mheshimiwa kuwa yeye ni lulu na WaTz wote wako nyuma yao, kumbe wajumbe walikuwa wanamlisha upepo tu, na sasa subiri huyu wa kila siku anayedanga na kusema ana makovu ya risasi mwili mzima kila siku, utadhani ndio leo tunasikia hiyo simulizi ya makovu, wakati ukifika debe ndilo litasema, na sitashangaa kusikia beti maarufu za kutoka Ufipa za kibwagizo cha ''Tumeibiwa, tumedhurumiwa, tanzania iwekewe vikwazo na kelele nyingi za debe tupu
 
Membe kaongelea ishu gani zaidi ya kutoa ahadi ya kuwaachia uamsho?
Let's cross that bridge when we get there. Kampeni hazijaanza! Kwanini watu wasisubiri kampeni zianze, wasikie hizo hoja na policy statements? Ushabiki sana, logic behind!
 
Wapemba sio watu wazuri hako ka sauti wanaweza mshika kalio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…