Bernard Membe anusurika ajali ya ndege

Bernard Membe anusurika ajali ya ndege

Hofu ya kukatwa jina inamsumbua halali usingizi
 
Halafu jamaa amechakaa ghafla sana.! Nini shida inayomchakaza namna ilee fasta?


Yaani afya yake mgogoro kweli daaah...kachoka mno...cjui ni nn..!? kawa kafupiiiiiiiiiiiiiiiii like joti...!!!
 
wakomee!!wametulia pesa zetu bado wanatuomba tena ili warudi wale ma pesa za watoto wetu.Mbona UKAWA tumetulia tu!??
Khaa!! Eti nasikia UKAWA wanasubiri mzee Jafari atemwe CCM ndiyo wamsimamishe. Nimesikia tu:glasses-nerdy:
 
Tatizo anafikiri ndege ni sawa na mabasi kugongana ovyo.
Air collision kutokea ni ngumu sana maana kwenye ndege kuna CAS ambayo inataarifu ukaribu kati ya ndege mbili ili pilot aweze kudivert course of travel endapo watakuwa wanasafiri kuelekea njia moja ambayo itsababisha wagongane.
Na pia ni mara chache sana kwa abiria kujua hilo

Mkuu bora umesema, maana mleta mada na hiyo sijui radio RFA hawajui wanachokisema. Sio rahisi kihivyo ndege kugongana. Kwanza ndege zinapewa njia na air controller kutoka kwenye tower na sio rahisi atoe njia moja kwa ndege mbili zinazoruka opposite direction. Na hata ikitokea kwa makosa ya kinadamu air controller akafanya hivyo, kwenye ndege kama ulivyosema kuna vifaa vya kieletroniki vinavyo mshtua pilot kwamba kuna ndege nyingine kwenye hivyo njia na hivyo kumpa pilot nafasi ya either kwenda juu zaidi au kushuka chini. Uamuzi wa kushuka au kwenda juu unatoka na direction anayokuwa anaelekea. Sasa huu uzushi wa kusema Membe ameepuka kifo kwa kuwa ndege zilitaka kugongana tena hapo tu kati ya Zanzibar na Dar ni kichekesho au ni uongo uliopangwa kutoa nafasi ya jina la Membe kuwa midomoni mwa watu.

Tiba
 
Tatizo anafikiri ndege ni sawa na mabasi kugongana ovyo.
Air collision kutokea ni ngumu sana maana kwenye ndege kuna CAS ambayo inataarifu ukaribu kati ya ndege mbili ili pilot aweze kudivert course of travel endapo watakuwa wanasafiri kuelekea njia moja ambayo itsababisha wagongane.
Na pia ni mara chache sana kwa abiria kujua hilo

Waliwahi kusema helicopter aliyokuwa amepanda magufuri na 50 cent(g. Billal) na meck sadick imepata tatizo ikagonga jengo airport. Lakini hadi leo hii ilikuwa ni story tu.. Huyu naye ni mtaalamu wa kutengeneza story apate pa kutokea
 
Khaa!! Eti nasikia UKAWA wanasubiri mzee Jafari atemwe CCM ndiyo wamsimamishe. Nimesikia tu:glasses-nerdy:

Nilivyomuona nikashtuka sana ni bora angepumzika huo urais autakao ni mzigo Mkubwa sana
 
Mkuu bora umesema, maana mleta mada na hiyo sijui radio RFA hawajui wanachokisema. Sio rahisi kihivyo ndege kugongana. Kwanza ndege zinapewa njia na air controller kutoka kwenye tower na sio rahisi atoe njia moja kwa ndege mbili zinazoruka opposite direction. Na hata ikitokea kwa makosa ya kinadamu air controller akafanya hivyo, kwenye ndege kama ulivyosema kuna vifaa vya kieletroniki vinavyo mshtua pilot kwamba kuna ndege nyingine kwenye hivyo njia na hivyo kumpa pilot nafasi ya either kwenda juu zaidi au kushuka chini. Uamuzi wa kushuka au kwenda juu unatoka na direction anayokuwa anaelekea. Sasa huu uzushi wa kusema Membe ameepuka kifo kwa kuwa ndege zilitaka kugongana tena hapo tu kati ya Zanzibar na Dar ni kichekesho au ni uongo uliopangwa kutoa nafasi ya jina la Membe kuwa midomoni mwa watu.

Tiba

Mkuu badala ya kumshambulia mwandishi wa uzi na chanzo cha habari, ni vema ukajikita kwenye hoja na kama ni suala la ujuzi kila mmoja ni mjuvi kwenye tasnia yake, kama wewe ni mjuvi wa mambo ya anga(aviation industry) wengine wajuvi wa mambo mengine.
 
Mgombea wa Ukawa yuko mazoezini Ulaya kujitayarisha kwa kampeni. CCM bado wanatafuta kapteni wa timu yao.
yaani unaenda ulaya kupata uzoefu ili ukatawale watu wa namtumbo?? hiyo ni akili kweli??
 
Ah hahaha hivi abiria anaweza kufahamu kwa haraka kwamba ndege zinataka kugongana???
 
wameanza maigizo...huyu wa sasa alikuwa na kifafa akawa anadondoka-dondoka.....huyu dhaifu naye kaanza kutafuta huruma bahati nzuri hakuna mtanzania ambaye ameshtuka baada ya taarifa hizi.
 
Back
Top Bottom