mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,789
Ana deni LA Tsh 10 b,akili haijatulia,chezea membe nini! KkkkkkkHivi Musiba yuko wapi siku hizi?
Mmh! Hafai kuwa wakati amekuaMembe amchallenge Jiwe 2020 ili akae sawa kiakili mzee wetu ana msongo wa mawazo.anapaniki kama mtoto mdogo.
Magufuli hafai kuwa rais.over.
ziundwe taasisi nje na siasa za kusimamia serikali zenye watu wenye weledi wa masuala makubwa ya kitaifa kama uchumi,jamii,n.k kama CAG na vyombo vinginevyo.
kingine ninkuiong'oa ccm Nchi hii na kufuta mizizi yake yoote nchini ili tuanze upyaaaaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafanyaje?
Na ataipata safari hii, hizo Billion 10 zitamtokea makalioni....Huyu Musiba ni wa kushikishwa adabu...
Kuna utawala gani umeshawahi kutokea baadhi ya wananchi kukosa kulalamika?Kama Tanzania tunataka kujiokoa na kutoelekea njia ya Zimbabwe,membe anatakiwa kugombea 2020.
Magufuli amefeli mambo mengi kwanza si kiongozi na hata kwenye utawala hajui analazimisha.
Nchi ambayo kila mtu ana lalamika tena ktk miaka 3 tu ya kuwa rais hilo ni tatizo,ndio maana akina bashite wanatamba na kunyanyasa watu wakati ni mazero na lkn wanabebwa.
Nina hasira mpaka basi,hatumtaki magufuli,hata akiiba kura 2020 nchi itakuwa chungu kutawalika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho umenikumbusha mbunge "Bwege"Membe amchallenge Jiwe 2020 ili akae sawa kiakili mzee wetu ana msongo wa mawazo.anapaniki kama mtoto mdogo.
Magufuli hafai kuwa rais.over.
ziundwe taasisi nje na siasa za kusimamia serikali zenye watu wenye weledi wa masuala makubwa ya kitaifa kama uchumi,jamii,n.k kama CAG na vyombo vinginevyo.
kingine ninkuiong'oa ccm Nchi hii na kufuta mizizi yake yoote nchini ili tuanze upyaaaaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ni full upuuzi.Wanatupotezea muda tuuKipi kinachofurahisha mkuu? Mwana CCM na CCM au? Maana Camilius anachukuliwa kama mpinzani wakati mwana CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahhh wapi