Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,690
- 3,382
Nimecheka tu hilo jinaHivi na yule CAG anaenda lini kwa Subwoofer.?
Ha ha ha!Hivi na yule CAG anaenda lini kwa Subwoofer.?
Tulisha sema humu Jamvini, Bashiru aliingia mlango asiouweza.Bashiru amekanywa Na amekanyika sasa
Hata humu tulimkanya Sana kwa kujaribu kuwasha Moto asioweza kuuzima
Tumefarijika kusikia amejirudi
Musiba ni serikali hakuna mwenye ubavu wa kumwadabisha...Huyu Musiba ni wa kushikishwa adabu...
Jamani wewe ni ISIS? naona unarudi kinyume mpaka ID yako.
Ahhh wapi
Fukara huyo, hana lolote walahi
Kuna kakijana kadogo hovyo kabisa, kameigiza id yangu, pathetic dna walahiJamani wewe ni ISIS? naona unarudi kinyume mpaka ID yako.
Indeed walahi
Indeed walahi
Hahahaaa....Membe anatafutiwa plan B ya RisasiHahaaa wameingia mitini