victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 613
Hakufai huko ondokeni aisee!
Usimtishe Mkuu, jamaa kaona anakimbilia mid30's Hana hela so anataka akapige hela Lumumba hapo walau azeeke vizuri.. Aende Tu Mwanakwenda,Hakuna aliyeondka cdm akabaki salama
Mwenyekiti wetu ameleta madai ya Tsh Bilioni 7 kwa Chama fedha ambazo ameanza kujilipa kinyume cha utaratibu na kukiacha Chama taabani kifedha hali ya kuwa tunapata ruzuku ya zaidi ya Tsh Mil 300 kwa mwezi kwa zaidi ya miaka miwili sasa.
Hayo madai ya bilion 7 yamethibitishwa na nani??? Au propaganda za humu ndio mnazifanya official?? Labda mumuulize mtoa mada aweke ushahidi kivp mbowe amedai hayo mabilion sio hearsay afu mnaconcludeMaajabu ya Tundu Lissu kushangaa na kuhoji eti Tanzania inaidai Acacia trilioni 110 wakati mtaji wao ni trilioni 26?
Mbona sasa hashangai na kuhoji Mwenyekiti wake na K.U.B Freeman Mbowe anaidai Chadema Bilioni 7 wakati ruzuku ya Chama hicho ni milioni 300?
Made in Tanzania.
Hahahaha imepoteza network!Mkuu maamuzi yako wala hayashangazi kiviile kwakuwa chadema ya sasa imepoteza network!
2020 Mungu akitujalia utapata majibu zaidi!!
Hata mimi nashaangaa pamoja na top up 5b ya EDO bado mbowe alikikopesha chama mh .. makubwaAnakidai chama bilioni 7?!
Hahahahaaa hawa ndio cdmMkuu maamuzi yako wala hayashangazi kiviile kwakuwa chadema ya sasa imepoteza network!
2020 Mungu akitujalia utapata majibu zaidi!!
Ishapuuzwa tayari!Aisee! hii si ya kupuuza!
Mbona machozi yanakulenga?With or without you we Will shine.
Viva chadema viva