mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Mwana , nakupongeza kwa kuelezea ukweli, huyu mwenyekiti viatu sasa havimtoshi tunataka damu mpya. nami naungana na wewe japokuwa bado mwanaharakati, lakini juhudi za Rais wetu zimepindua hoja zote za CHADEMA. Mimi ni Mwanachama ambaye mazuri ya Magufuri nayasifia kwani lengo letu kuu sio kuchua tu nchi bali maendeleo kwa kila mtanzania. Wanachadema wote tumuunge mkono Rais pale suala linapokuwa la maslahi ya nchi.