Benson Kigaila amfunika Nape Nauye ndani ya BBC

Benson Kigaila amfunika Nape Nauye ndani ya BBC

kwa upande wangu nimemkubali nape maana hata gen. ulimwengu alikubaliana nae kuwa zanz wanapiga kura 5

raisi wa jam, wa zenji, wawakilish, diwan, hivyo wapo wenye sifa ya kupig kura zote na wapo walio na sifa ya kupiga 3 ikiwemo ya raisi wa jam. ila hawana sifa ya kupiga ya raisi wa zenji.

sasa anaposema hawatambui ushindi wa magufuli na hawapo tayar kushirikiana ni mwendelezo wa utoto wa mwaka 2010

NA WW N GREATER THINKER? jf member HAWA WATOTO WA BRN WANAONDOA SIFA YA KUWA GREATER THINKER maskn jaman umeambiwa uchaguz zanzibar umefutwa hv unaelewaje kufutwa kwa uchaguz maana ake? MM SI MWANASHERIA ILA KWAKUWA SI ZAO LA BRN NAJUA KABXA ZEC WALITAKIWA KUSEMA HV " MATOKEO YA URAIS ZBR YAMEFUTWA" IL KUNUSURU JAMHUR na kama sheria hairuhusu bas wao ndo wangejua wafanye nn NA NDO MAANA MMEOGOPA KURUDSHWA SHULE
 
Muda mfupi tu uliopita nilikuwa nasikiliza BBC Swahili mahojiano ya moja kwa moja kati ya BBC na Benson Kigaila Mkurugenzi wa mafunzo wa CHADEMA na Nnape Nauye wa CCM. Kigaila ameweka wazi msimamo wa CDM/UKAWA kuwa hawatambui Urais wa Magufuli na hawako tayari kushirikiana na serkali ya Magufuli!

Benson Magufuli amehoji kufutwa kwa Uchaguzi Zanzibar kuwa CCM wamefanya hivo baada ya kushindwa vibaya lakini CCM hiyohiyo ikasema kura za Rais wa JMT na hauna kasoro.Kigaila ametoa mfano mmoja ambao umeniacha sina mbavu.Kwamba wanachofanya CCM Bara kukubali kura za kutoka Zanzibar ni sawa na mtu aliyepika nyama ya Kuku na ya Kitimoto kwenye sufuria moja na mlaji wa nyama akawa ni Mwislamu ambaye inabidi achague nyama za kuku toka sufuria lenye mchanganyiko na Kitimoto huku akisema nyama za kuku ni halal!

Kukataa kushirikiana na Makufuli ni tabia ya chadema, wakati wa jk pia hawakumtambua lakini walipopata shida walikwenda kumwona ikulu, tena wakafanya mazoea kwa kwenda kunywa chai na juice-tena wao wangekataa hata kuingia bungeni kwa hii miaka mitano. naamini kwa tamaa zao tena ndo watakuwa wa kwanza kutinga bungeni na kuchukua mashangingi.
 
Muda mfupi tu uliopita nilikuwa nasikiliza BBC Swahili mahojiano ya moja kwa moja kati ya BBC na Benson Kigaila Mkurugenzi wa mafunzo wa CHADEMA na Nnape Nauye wa CCM. Kigaila ameweka wazi msimamo wa CDM/UKAWA kuwa hawatambui Urais wa Magufuli na hawako tayari kushirikiana na serkali ya Magufuli!

Benson Magufuli amehoji kufutwa kwa Uchaguzi Zanzibar kuwa CCM wamefanya hivo baada ya kushindwa vibaya lakini CCM hiyohiyo ikasema kura za Rais wa JMT na hauna kasoro.Kigaila ametoa mfano mmoja ambao umeniacha sina mbavu.Kwamba wanachofanya CCM Bara kukubali kura za kutoka Zanzibar ni sawa na mtu aliyepika nyama ya Kuku na ya Kitimoto kwenye sufuria moja na mlaji wa nyama akawa ni Mwislamu ambaye inabidi achague nyama za kuku toka sufuria lenye mchanganyiko na Kitimoto huku akisema nyama za kuku ni halal!


CHADEMA tulisha WAZOEA kila uchaguzi wameonewa tu lakini maisha yanendelea.
 
Kushirikiana kwao na kutoshiriana nae kunatusaidia nini? Wanazani magufuli ni rais wa kuomba msaada kuongoza?
Huyo Ben anakurupuka tu, hawatambui urais wa magufuli lakini wabunge wake kesho wanaenda kupiga magoti kuomba miradi ya maji majimbo ni kwao,
Maana yake nini?

Mbona maelezo ya upande mmoja tu naomba na mazungumzo ya Nape ili tupime uelewa wao kisahihi. Huwezi kupima mazungumzo ya watu wawili ukiwa na ushahidi wa upande mmoja tu.
 
Nape ni mtu ambaye nilijua anaakili sana kumbe n mtu ambaye n mpumbavu kupita maelezo yaan anaongea ujinga mtu hata bila aibu

Tangu akiwa katibu mwenezi wa ccm ulikuwa hujamjua kuwa ni boya
 
kwa upande wangu nimemkubali nape maana hata gen. ulimwengu alikubaliana nae kuwa zanz wanapiga kura 5

raisi wa jam, wa zenji, wawakilish, diwan, hivyo wapo wenye sifa ya kupig kura zote na wapo walio na sifa ya kupiga 3 ikiwemo ya raisi wa jam. ila hawana sifa ya kupiga ya raisi wa zenji.

sasa anaposema hawatambui ushindi wa magufuli na hawapo tayar kushirikiana ni mwendelezo wa utoto wa mwaka 2010
Zipompa tatizo tu mpishi ni mmoja ambaye ukizisoma sababu alizotoa mwenyekiti ndiye aliyevuruga (au kushindwa kusimamia kwa ligha ya staha).
 
Mbona maelezo ya upande mmoja tu naomba na mazungumzo ya Nape ili tupime uelewa wao kisahihi. Huwezi kupima mazungumzo ya watu wawili ukiwa na ushahidi wa upande mmoja tu.

Acha ujinga wewe.
Kwani wewe unaishi dunia gani rafiki?Kama hukusikiliza mahojiano hayo live toka BBC Swahili ingia kwenye wavuti wa www.bbc.com/swahili usikilize Vuvuzela lenu alichokuwa akibwabwaja! Kwa mfano mtangazaji BBC alimipigia aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aliyejiuzulu wakti wa BMK ili atoe ufafanuzi kama Mwenyekiti zake hajakiuka Katiba au kuvunja sheria akasema ni kweli! Nape anaulizwa kuhusu majibu ya M/mkuu anasema hamwamini kwa vile alifukuzwa kazi.....!!!!

Nepi is an idiot Fool!
 
Mpumbavu ni huyo anayesema hatambui urais wa magufuli kesho kutwa wabunge wake wanaenda kumuombea huyo huyo rais miradi ya maendeleo majimbo ni kwao,
Ni ujinga uliotukuka

Mkuu hapo kwenye red unamaanisha kumuomba?
Pamoja na hayo hivi tangu lini wabunge huwa wanamuomba rais fedha za maendeleo ya majimbo yao,maanake hata wakimuomba atazitoa wapi?
Ninachojua ni kwamba fedha zinazopelekwa majimboni kwa ajili ya maendeleo baada ya bajeti kupitishwa ni kodi zetu kwa hiyo hazitolewi kama hisani toka kwa rais yeyote awaye.
 
UKAWA wamevuna walichopanda hasa usaliti wao kwa Dr Slaa na Prof Lipumba. Na Mimi nasema dhambi hii iwatafune tu maana hakuna namna!


Muda mfupi tu uliopita nilikuwa nasikiliza BBC Swahili mahojiano ya moja kwa moja kati ya BBC na Benson Kigaila Mkurugenzi wa mafunzo wa CHADEMA na Nnape Nauye wa CCM. Kigaila ameweka wazi msimamo wa CDM/UKAWA kuwa hawatambui Urais wa Magufuli na hawako tayari kushirikiana na serkali ya Magufuli!

Benson Magufuli amehoji kufutwa kwa Uchaguzi Zanzibar kuwa CCM wamefanya hivo baada ya kushindwa vibaya lakini CCM hiyohiyo ikasema kura za Rais wa JMT na hauna kasoro.Kigaila ametoa mfano mmoja ambao umeniacha sina mbavu.Kwamba wanachofanya CCM Bara kukubali kura za kutoka Zanzibar ni sawa na mtu aliyepika nyama ya Kuku na ya Kitimoto kwenye sufuria moja na mlaji wa nyama akawa ni Mwislamu ambaye inabidi achague nyama za kuku toka sufuria lenye mchanganyiko na Kitimoto huku akisema nyama za kuku ni halal!
 
Muda mfupi tu uliopita nilikuwa nasikiliza BBC Swahili mahojiano ya moja kwa moja kati ya BBC na Benson Kigaila Mkurugenzi wa mafunzo wa CHADEMA na Nnape Nauye wa CCM. Kigaila ameweka wazi msimamo wa CDM/UKAWA kuwa hawatambui Urais wa Magufuli na hawako tayari kushirikiana na serkali ya Magufuli!

Benson Magufuli amehoji kufutwa kwa Uchaguzi Zanzibar kuwa CCM wamefanya hivo baada ya kushindwa vibaya lakini CCM hiyohiyo ikasema kura za Rais wa JMT na hauna kasoro.Kigaila ametoa mfano mmoja ambao umeniacha sina mbavu.Kwamba wanachofanya CCM Bara kukubali kura za kutoka Zanzibar ni sawa na mtu aliyepika nyama ya Kuku na ya Kitimoto kwenye sufuria moja na mlaji wa nyama akawa ni Mwislamu ambaye inabidi achague nyama za kuku toka sufuria lenye mchanganyiko na Kitimoto huku akisema nyama za kuku ni halal!

Jisomee:

Tukizama kwa makini tutaona ya kwamba Dini zote zimeharamisha nguruwe. Mfano tazama katika Biblia (Agano la Kale), Kitabu cha Walawi: "Na nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hachuei; kwenu huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama zao wala msiguse mizoga yao" (11: 7 - 8). Na katika Kitabu cha Isaya: "Mwenyezi Mungu asema hivi: 'Wapo watu waaojitakasa na kutawadha wapate kuingia katika bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kuhani akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu'"(66: 17).
Na katika agano jipya, Yesu anasema: "Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha" (Mathayo 5: 17).


Na Qur-aan ipo wazi kabisa kuwa nyama ya nguruwe haifai kuliwa. Allaah Anasema:
"Yeye Amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu" (2: 173).


Nguruwe pamoja na kuwa anakula vinyesi na vitu vichafu pia ina matatizo mengi ambayo watafiti wamegundua kuwa nguruwe hata akilishwa lishe safi, bado:
(i) Ni wanyama wachafu katika mambo mengine na nyama ya wanyama wachafu ikiliwa inamuathiri mlaji.
(ii) Nyama ya nguruwe ina mafuta mengi zaidi kuliko nyenzo za kujenga misuli.
(iii) Ina uwezakano wa kupata magonjwa kuliko aina nyengine yoyote ya nyama (Abdallah Yusuf Ali,The Holy Qur'an, Revised and edited by the Presidency of Islamic Researches, IFTA, Call and Guidance, uk. 69).


Athari ya madhara ya nyama hiyo sasa inajulikana vilivyo na kila mmoja. Asidi ya Uric, inapatikana kwa kila mnyama, na mwili wa mwanadamu pia ina nasibu yake, ambayo inatolewa nje ya mwili na mafigo kwa 90% ya asidi ya uric inatolewa kwa njia hii, lakini chemia ya nguruwe ni kuwa inatowa nje ya mwili 2% ya asidi yake ya uric pekee. Iliyobaki inabakia ndani ya mwili wake. Hii ni sababu ya kupatikana kwa kiwango kikubwa ugonjwa wa baridi yabisi (rheumatism) wa nguruwe na wale wenye kula nyama yake (Maulana Wahiduddin Khan, God Arises, uk. 209 ? 210).


Dkt. Simpson ana haya ya kusema kuhusu nyama hiyo: "kwa sababu ya kuwa na mafuta mengi, nyama ya nguruwe ina tatizo kubwa kusagwa katika vyakula vyote. Mnyama huyo anaweza kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na lava wa Taenia solium hivyo kufanya "tegu (surua ya nguruwe)" na hii tegu inaleta aina ya tegu, T. solium. Inaathiriwa zaidi na Trichinella spiralis ambayo inaleta maradhi ya "Trichinosis" (Imenukuliwa na Yousef Saleem, Pork, A Bad Diet Prohibited by Islam, al-Islam, March/April, 1980, p. 29).


Trichinosis ni ugonjwa ambao unaletwa na kiinitete cha Trichinella spiralis wakati vinapohama kutoka kwa utumbo wa mwanadamu mpaka kwenye misuli. Katika wiki ya kwanza baada ya kuvamiwa mtu anaanza kutapika, kuhara na kusikia kichefuchefu. Ugonjwa unapoendelea inaleta matatizo ya kumeza, kuzungumza na kupumua.


Njia moja ya kuzuia ugonjwa ni kuipima nyama kwa tegu. Lakini Leavell na Clark wameandika: "Kwa vile cysts wa Trichinella ni wadogo sana kuonekana na macho, uchunguzi huo haufalii kitu. Wajerumani rasmi walikuwa wakifanya uchunguzi kwa hadubini kwa lengo hilo lakini ilikuwa ni ghali sana. Njia bora ya kuepukana na trichinosis ni kupika bidhaa za nguruwe barabara" (Imenukuliwa na Yousef Saleem,Pork, A Bad Diet Prohibited by Islam, al-Islam, March/April, 1980, p. 29).


Jambo jengine muhimu ni kuwa nguruwe ana shingo ndogo sana (kwa ndani, ingawa nje inaonekana pana), hivyo kuwa shida kuchinjwa. Hivyo, mwanzo anapigwa na chuma na baada ya kuzirai ndio anachinjwa. Hii ina matatizo kwa sababu Uislamu umeweka aina yake ya kuchinja ambayo inamfanya mnyama atoe kiwango kikubwa cha damu. Kama tunavyojua ni kuwa damu ni chombo cha kubeba viini vya ugonjwa na kemikali ambavyo vina madhara na hasa kwa mwanadamu. Kubakia ndani ya mnyama damu huenda kukaleta madhara makubwa kwa mlaji. Na kwa kuwa nguruwe hachinjwi kamawanyama wengine, damu nyingi hubakia ndani ya mwili badala ya kutoka nje.


Mwisho, nyama ya nguruwe ni chakula duni. Charles Annondale ameandika, "Nyama freshi ya nguruwe, japokuwa kwa wengine inachukuliwa kuwa chakula kitamu, hasa anapouliwa akiwa mchanga, ni lishe duni ukilinganisha na nyama ya ng'ombe au mbuzi na inatumika kwa uchache" (Imenukuliwa na Yousef Saleem, Pork, A Bad Diet Prohibited by Islam, al-Islam, March/April, 1980, p. 29).


Tunayopata katika maagizo na shari?ah ya Kiislamu kuhusu mbwa ni kuwa yeye ni najisi na pia ni haramu kuliwa. Hivyo, Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ametuagizia kuwa ikiwa mbwa ataramba chombo chochote basi chombo hicho kioshwe mara saba moja wapo ikiwa ni kwa mchanga. Na utafiti wa sasa unaonyesha kuwa katika umaji maji wake vipo viini ambavyo ni hatari haviwezi kuuliwa wala kuondoshwa isipokuwa kwa mchanga, kwani mchanga una vitu ambavyo vinaua viini hivyo. Kwa kuwa maslahi ya mwanaadamu anayeyajua ni Allaah (Subhaanahu wa Ta'aala). Na pia mbwa kama carnivorous (walaji nyama) wengine wanakula vitu vingi hivyo kuliwa na binadamu inamtoa katika ule ustaarabu na unaweza kumletea maradhi mengi kwa ajili ya hilo.

Huyo punguani angesema tu "asiekula nguruwe" na asinge single out Waislam pekee, mimi nnawajua Wakristo wengi ambao hawali hiyo najisi.

Hata Mkristo anaefata maamrisho ya Biblia basi hali nguruwe.

Soma zaidi: https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=20912
 
Back
Top Bottom