Benpol hapa umepotea, huu sio uanaume

mr gentleman

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
3,223
4,673
6ea9056e498fb68d71197883f0cf731e.jpg


Ata kama muziki wa sasa unaendeshwa kwa kiki kijana na mwanamuziki unayeheshimika haupaswi kufika kiwango hiki cha upumbavu.

Tumia kipaji chako kipaji unacho haya mambo yakutumia mwili wako waachie kina amba lulu na gigy money.
 
Back
Top Bottom