OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,199
- 103,733
Mwandishi uchwara aliandika hivi
Beno akamchana
Umejuaje hajachukua?Huyu mchezaji hajitambui. Baadala ya kuchukua challenges zikawa opportunities
challenge zipi alizotoa mwandishi hapo. Huyo mwandishi alikuwa anashangaa kwa nini Beno hajapangwa hata mechi ya jana ya kirafiki. Hakujipa hata dk 1 ya kujua chanzo. Mashabiki wakamjibu kuna mechi walicheza asubuhi na yeye alikuwa golini.Huyu mchezaji hajitambui. Baadala ya kuchukua challenges zikawa opportunities
Mwandishi kawasilisha anachokiamini, lakini binafsi niliyaona makosa ya wacjezaji 2. Beno na Gadiel. Mchaezaji aloyechemka zaidi ni Gadiel maana hakufikiria kabisa anakokwenda anakwenda kuwa nani? Matokeo yake kaacha nyumba yake kaenda kupanga. Beno ni miongoni mwa vipaji halisi vya kitanzania, Lakini ameua kipaji kwa kukosea kuchagua. Najua wazi na nilimsema kocha aliyekuwepo kwamba anakosa sifa moja kubwa ya kuwa "Mlezi", akamkataa mchezaji kwa kosa la kudai haki yake hata kama hakutumia njia sahihi za kistaarabu. Hata hivyo alichokifanya mchezaji ilikuwa kama kuunga juhudi ushabiki wa Simba na Yanga, akakubali kutumika kama chombo cha siasa za mpira. Hakujali yeye atakuwa nani Simba, akakubali kuwa mke wa pili. Tuwapende wachezaji wetu lakini wanapokosea tuwaambie ukweli. Leo De Gea anaweza kwenda Liverpool kuwa msaidizi wa Allison? Hatuoni wenzetu hata nafasi yake uwanjani inaweza kuwa sehemu ya mkataba wake.
Soma vizuri maandishi ya huyu mchezaji utanielewachallenge zipi alizotoa mwandishi hapo. Huyo mwandishi alikuwa anashangaa kwa nini Beno hajapangwa hata mechi ya jana ya kirafiki. Hakujipa hata dk 1 ya kujua chanzo. Mashabiki wakamjibu kuna mechi walicheza asubuhi na yeye alikuwa golini.
Swali la msingi ni kwamba watakaa golini wote wawili? Timu ina wachezaji 28,wacheze wote.
Wewe umeisoma vizuri si kama OKW BOBAN SUNZU aliyesoma kwa mihemkoHapa Beno Kakolanya Kapanic pasipo sababu
Umesoma Vyema comments za Kakolanya?Umejuaje hajachukua?
Imemuuma, inaonekana mwandishi kamchoma kweli, maneno yake yanayoonekana Yana ukweliHapa Beno Kakolanya Kapanic pasipo sababu
Huyu dogo me namjua kitambo kabla hata hajaanza kufanya kazi na Shaffih Dauda.
Ni shabiki wa Yanga na demu wake anaitwa Ela kadem flani kahaya nacho kashabiki ka yanga.
Beno alikuwa hana hata haja ya kumjibu Davi ni dada tu.
Sheria za JF zingekuwa zinaruhusu naweka picha ya kadem chake hapa mcheke sanaa
Kwahyo ulitaka wafie njaa Yanga sio😂😂. Waonee huruma vijana wenzako wanamajukumu piaKakolanya ..gadiel na ajibu....sikuona sababu ya wao kuondoka yanga..kakolanya alivogombana na kocha ni heri angeenda hata azam au angekomaa abaki yanga
Kwahyo ulitaka wafie njaa Yanga sio😂😂. Waonee huruma vijana wenzako wanamajukumu piaKakolanya ..gadiel na ajibu....sikuona sababu ya wao kuondoka yanga..kakolanya alivogombana na kocha ni heri angeenda hata azam au angekomaa abaki yanga
kutaka kumshambulia personally kunamaanisha anachosema ni sahihi na umekosa hoja za kumjibu.Huyu dogo me namjua kitambo kabla hata hajaanza kufanya kazi na Shaffih Dauda.
Ni shabiki wa Yanga na demu wake anaitwa Ela kadem flani kahaya nacho kashabiki ka yanga.
Beno alikuwa hana hata haja ya kumjibu Davi ni dada tu.
Sheria za JF zingekuwa zinaruhusu naweka picha ya kadem chake hapa mcheke sanaa
mpira sio sawa na ualimu au utumishi wowote ule kwamba hata usimamishwe kazi na mshahara unaupata fresh tu. Kwenye mpira inatakiwa ucheze ili ufikiriwe tena mkataba utapoisha. Unafikiri Simba wataoffer pesa sawa na ile waliyotoa kwa hao wachezaji pindi mikataba yao inapoisha? Kwa mchango gani waliouonesha kwenye timu?Kama aliyeko bench simba anavuta mpunga wa maana kuliko aliyeko golini Yanga shida iko wapi pesa kwanz mengine badae