Benki ya Wanawake (TWB) ilifia wapi?

Ilikufa baada ya mkurugenzi wake kuhonga wanaume Kila siku na kuifilisi.Wanawake hawafai kabisa hata kidogo
 
1. Benki Pendwa ya Wanawake imefia wapi? Malkia wa Nguvu on fleek!

2. Watu wamepiga mahela wamesiz kitaa Sasa wanawaza kupiga hela za faraja tena
Pesa zilichezewa kibati 😁😁😁
 
Walikuwa wanakopa ,wanaenda kununua vijora na kula Kula hovyo, mara sambusa mara chips ,investment zao kubwa ilikuwa ni kupendeza na kujipodoa
 
Walikuwa wanakopa ,wanaenda kununua vijora na kula Kula hovyo, mara sambusa mara chips ,investment zako kubwa ilikuwa ni kupendeza na kujipodoa
Kuhonga viben10 wanyonywe nyapu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…