The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
hivi hii ya serikali kuanzisha benki ya vijana,
ya wanawake....,na ya jeshi ....
na sijui ni nani huyu anaeanzisha ya walimu.....
hivi.....hiii yote ni nini hasa???????
na hiyo benki ya walimu itaathiri vipi nmb??????
watanzania wanaotumia benki hawafiki millioni mbili....
kuna mtaalamu humu anaweza kutufafanulia kuna faida kwa yote haya?
ya wanawake....,na ya jeshi ....
na sijui ni nani huyu anaeanzisha ya walimu.....
hivi.....hiii yote ni nini hasa???????
na hiyo benki ya walimu itaathiri vipi nmb??????
watanzania wanaotumia benki hawafiki millioni mbili....
kuna mtaalamu humu anaweza kutufafanulia kuna faida kwa yote haya?