Benki ya NMB imenitumia Shilingi 10,024,061,002,406 kimakosa

Benki ya NMB imenitumia Shilingi 10,024,061,002,406 kimakosa

Nevergive up

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2024
Posts
581
Reaction score
913
NMB please msiniingize majaribuni na sina tamaa kwa pesa ambayo siyo haki nayo na jasho langu, kuweni makini mtakuja kukosea kwa vishoka hatimaye kiwe kilio kwenu. Jana (Agosti 7, 2026) mmenitumia TZS 10,024,061,002,406 = Shilingi trilioni 10.024 (takribani) na sikutoa hata mia ndani ya dakika 45 hivi ndo mkairudisha.

Jana benki hiyo ya Serikali imenifanya nimekuwa Trilionea kwa nusu saa Asante sana NMB!

Screenshot_20260808-202429.jpg

IMG_20260808_202557_357.jpg
 
NMB plz msiniingize majalibuni na Sina tamaa Kwa pesa ambayo siyo haki yangu na jasho langu,kuweni makini mtakuja kukosea Kwa vishoka hatimae kiwe kilio kwenu. Jana mmenitumia TZS 10,024,061,002,406 = Shilingi trilioni 10.024 (takribani) na sikutoa hata mia ndani ya dakika 45 hivi ndo mkairudisha.

Jana nimekuwa trionea Kwa nusu saa Asante sana NMB

View attachment 3646499
Uliweza kuhamisha ngapi?
 
Back
Top Bottom