Benki ya Dunia: Tanzania ina nafasi gani katika kukua kwa Bara la Africa?

Benki ya Dunia imeandaa semina kuzungumzia

Semina hii ya Benki Kuu imewaandaa watoa mada


Ni Benki Kuu au Benki ya Dunia? Hueleweki.

Either way, Miundombinu ya Uwekezaji sio Infrastructure Investment bali ni investment infrasture. Infrastructure investment ni uwekezaji kwenye miundombinu, vitu viwili tofauti.

Sasa sijui hawa ma profesa wasomi walikuwa wanata kuongelea miundombinu ya uwekezaji au uwekezaji kwenye miundombinu.

Ni jambo la aibu, janga la taifa, kwa wakuu wa vyuo vikuu na wahadhiri wanaoheshimiwa kushindwa kutofautisha au kutafsiri viswahili na viingereza rahisi kama hivi.
 
Ni mjadala mzuri ktk kubadili fikra za watanzania ambao hawaelewi mantiki ya hapa kazi tuu
 
Hapo kwa prof.M.Ndanshau ,hadhira itumie akili ya ziada kuweza kumuelewa maana sio mzungumzaji mzuri na rafudhi na staili yake ya kuzungumza in ngumu sana mtu kumuelewa,kiufupi hana kipawa cha kuelimisha wala kuelewesha japo yeye binafsi yuko nondo,waliosoma economics UDSM watanielewa
 
Tanzania nafasi yake ni ndogo sana kwa maendeleo ya afrika, tuwaachie Nigeria, south afrika n.k., tulisaidia ukombozi wa afrika basi imetosha sasa tuboreshe maisha ya watanzania
kwa nini unasema Tz inanafasi ndogo katika maendeleo ya Afrika???
 
Nakumbuka zamani mnaenda kucheza mpira wa cha ndimu, mmojawapo wa wachezaji ndo mko uwanja wa kwao na mpira ni wa kwake, akichezewa vibaya katika harakati za kucheza basi anaweka mpira kwapani na mechi imeisha, hivyo inabidi mcheze kwa tahadhari sana, hakuna kumgusa au kumkwatua
Mkuu nimekupata vizuri sana
 
Kwa Afrika bado sana na sababu ni nyingi ila Kuu ni Migogoro ya kujitengenezea/ uchu wa madaraka na Mifumo mibaya tuliyo jiwekea ktk Nchi zetu za Afrika ktk kujiletea Maendeleo.

Tumerithi Mifumo mingi (isiyo na Tija)ya Kikoloni na bado tunaitumia ktk karne hii ..
toa mifano basi ya mifumo mibovu tuliyoirithi ili tusaidiane kuelewa
 
Benki ya Dunia inatuchora tu, Huo(semina) ni mlango wa nyuma kujua mipango yetu tu na sio kutusaidia. Why now? What then? Maneno matupu tu. Nchi itajengwa na wananchi wenyewe, Tupambane na hali yetu. Action speak.
Acha mijadala ifanyike tujue tunakosea wapi ili tuendelee kama Taifa
 
Anao uzoefu wa kupika data ili kuokoa chama chake
Lakini huo ni MJADALA wa KISOMI katika Mazingira hayo UCHAMA unatoka wapi ndugu?? pia ilo tangazo linasema yeye atakua ni mwenyekiti wa Mjadala sasa hizo data atazipika katika mazingira gani???
 
Lakini huo ni MJADALA wa KISOMI katika Mazingira hayo UCHAMA unatoka wapi ndugu?? pia ilo tangazo linasema yeye atakua ni mwenyekiti wa Mjadala sasa hizo data atazipika katika mazingira gani???
Ndugu yangu watu wengine wako kwa ajili kupinga tu......
 
Lakini huo ni MJADALA wa KISOMI katika Mazingira hayo UCHAMA unatoka wapi ndugu?? pia ilo tangazo linasema yeye atakua ni mwenyekiti wa Mjadala sasa hizo data atazipika katika mazingira gani???
Unamfahamu Mkandala ? Uliambiwa Mwenyekiti hatoongea ?
 
Back
Top Bottom