Benki ya Dunia: Ni rahisi kufanya biashara(uwekezaji) Uganda, Kenya, Rwanda, Burundi kuliko Tanzania

Na issue ya bureau de change bado inatokota kuna watu yaelekea wanataka kukamata hiyo biashara mtaona siku si nyingi
 
Benki ya dunia inamilikiwa mabepari wachache na sio lazima wawekeze tanzania ndio iwe kipimo cha mazingra bora
....Kama kawaida yenu always ukweli hamuutaki. Kama hawa hawa WB wangesema ni rahisi kuwekeza TZ mngekenua meno na kuwazomea akina Zitto. Halafu majuzi Dangote kasemaje kwani kuhusu hili?
 
HAWA WATU HABARI MBAYA WANAZIPENDA KWA KASI, INGEKUA KINYUME HAPO , POVU LINGEWATOKA+PRESS CONFERENCE+NYUMBU MITANDAONI
 
Habari kama hizi siyo za kuchukulia kirahisirahisi sana..maana soon tutaanza kuona ukweli wa mambo.. Ni bora kila inapotokea kuliko kupinga ni kuanza kufanyia kazi na kutafuta ukweli...
Tukiamini maneno ya kisiasa ipo siku tutakuja kujuta..Katika hili tunahitaji kuwa wamoja...
 
Dah bora hata lingekua dume asee... Sasa kadem ka watu kamejikwamua unakuja kukachomea vifaranga wake...kweli watu wana roho ngumu!!
Hawana huruma kama wako tayari kutoa hata roho ya bidanamu mwenzao kwa sbu tu ya kulinda cheo au kutotaka kukusolewa kuchoma moto hivo vifaranga kwao ni kitu kidogo sana
 
Hebu fikiria mdada wa miaka 23 kaamua kuipunguzia serikali idadi ya waomba kazi kwa kuwekeza kwenye kuku lakini kaishia kurudishwa kwenye sifuri (kama sio negative) baada ya mtaji wake wa Tsh. 12.5m kuteketezwa!

Penye concept ya uwekezaji makini unaangalia amefanya kosa gani na kwa makusudi gani then mnarekebisha kwa kumuonya ili uchumi ukue. Lakini kiuhalisia Tanzania inaipa mashiko hoja ya huyu Mmari Kennedy/World Bank.

Ili mje mseme walipewa kitu kidogo wakamwachia?
 
Magu ana kazi moja tu nchini nayo ni kuua uchumi uliotengenezwa kwa gharama kubwa na watangulizi wake.
Yeye magu anaushusha kwa mshahara wa cheap popularity.

Kwa mujibu wa nani Lisu au???
 
Hebu fikiria mdada wa miaka 23 kaamua kuipunguzia serikali idadi ya waomba kazi kwa kuwekeza kwenye kuku lakini kaishia kurudishwa kwenye sifuri (kama sio negative) baada ya mtaji wake wa Tsh. 12.5m kuteketezwa!

Penye concept ya uwekezaji makini unaangalia amefanya kosa gani na kwa makusudi gani then mnarekebisha kwa kumuonya ili uchumi ukue. Lakini kiuhalisia Tanzania inaipa mashiko hoja ya huyu Mmari Kennedy/World Bank.
Unauhakika kuwa hawakuangalia kosa lake? Je hakujua kuwa afanyalo ni kosa?? Zama hizi uwekezaji wa kuvunja sheria na taratibu za inchi hautakiwi, upige pesa wwe wengine waumie eti kwa kisingizio umejiajiri huo ni ujinga kabsa, Raisi piga kazi kura yangu 2020 ni uhakika
 
Tupolikuwa tukiwaachia kwa makosa waibe rasilimali zetu, walisema kuwa we were amongst the best investment destination country. Lakini tulipoziba matundu na chochoro zote ambazo kwazo walipitia kutuibia, tunasikia; 'Tanzania siyo pahala salama kuwekeza au kufanyakazi biashara'. Ila tukiendelea na msimamo huu bila kuyumba, baadaye (2025+) utasikia wakisema Tanzania ni taifa lenye uchumi imara kunakofaa kuwekeza. Hao ni wezi na, kwa kutumia maneno ya Prof. Seth Chachage (apumzike kwa amani), ni mibaka uchumi, period!
 
Mkopo ni haki kukopa sehemu tunayoona inafaa kwa hiyo benki ya dunia ni sehemu tu
 
Korea ya kaskazini wapo sawa kabisa lakini benki ya dunia imewawekea vikwazo japo wanatetea maslahi ya wakorea. So WB ni wanafiki sana ikiwa unasimamia sheria vizur ukawa unawabana wasipate maslahi yao basi wewe haufai kwa uwekezaji.
....Maneno miiiiiingiiiii
 
Back
Top Bottom