Fukara siyo masikini!,Ufukara ni ukosefu wa Cash hata kama una asset kiasi kikubwa sn lakini huna Cash basi wewe ni Fukara!Kwa hivo ni kweli mafukara ni wengi kwa sb hakuna mzunguko mkubwa wa pesa kwenye biashara lakini mabank yakianza kukopesha biashara then hiyo namba inaweza kupungua tena!
My point here is like Ufukara waweza kumkumba tajiri yeyote...Lakini huo siyo umasikini!
Kwa nini wasiongezeke ilhali korosho hazilipwi taslimu,pamba imedorola na mfumuko wa bei uko juu? Pia "jiwe" hutamba yeye ni wa WANYONGE!Ripot ya bank ya dunia imetoka
Ripot hiyo inaeleza kuwa tanzania ni miongon mwa nchi chache zenye mafukara wa kutupa
Bank hiyo inadai kuwa ndan ya mwaka huu mafukara wameongezeka na kufikia milion 13
Ripory inadai kuwa kas ya kuzalina imeongezeka kushinda kas ya uzalishaji, maisha ya watanzania walio wengi ni magumu kupindukia na mpaka sasa hakuna juhud zozote ambazo zimechukuliwa na selikal ili kupunguza wimbi la mafukara nchini
Kumbuka riport inasema mafukara ndo wameongezeka wala siyo masikin nahisi kuna tofaut kubwa sana kati ya masikin na mafukara, nahisi mafuraka ni wale walala hoi wa mwisho yaan wale masikin wa kutupa
Chanzo ni riport ya world bank na gazet la mwananchi
Mayala B
Lofa ni kutoweza kujihimili kwa namna mbalimbali. Ukishindwa kujihimili kwa kufanya maamuzi sahihi basi utakuwa umeangukia kwenye ulofa.Na rofa je
Tuwekee hiyo ripoti ukiweza ili tujisomee wenyewe, tafadhali.Ripot ya bank ya dunia imetoka
Ripot hiyo inaeleza kuwa tanzania ni miongon mwa nchi chache zenye mafukara wa kutupa
Bank hiyo inadai kuwa ndan ya mwaka huu mafukara wameongezeka na kufikia milion 13
Ripory inadai kuwa kas ya kuzalina imeongezeka kushinda kas ya uzalishaji, maisha ya watanzania walio wengi ni magumu kupindukia na mpaka sasa hakuna juhud zozote ambazo zimechukuliwa na selikal ili kupunguza wimbi la mafukara nchini
Kumbuka riport inasema mafukara ndo wameongezeka wala siyo masikin nahisi kuna tofaut kubwa sana kati ya masikin na mafukara, nahisi mafuraka ni wale walala hoi wa mwisho yaan wale masikin wa kutupa
Chanzo ni riport ya world bank na gazet la mwananchi
Mayala B
Msije mkajiingiza kwenye mambo ya takwimu wenyewe!Fukara ni masikini zaidi. Kwa lugha ya kawaida "Masikini wa Kutupwa" au kwa jina jingine Hohehahe: Mtu ambaye hali yake ya maisha si nzuri, mtu asiye na mbele wala nyuma, masikini sana.
umejitahidi, umesahau kuwa DUNIA ya leo mataifa machanga hayana siri, hata makusanyo kodi ma hela zilizoingia hazina leo WB wanajua.Ripoti za Benki ya Dunia ni ripoti za kibeberu na zenye lengo la kukandamiza nchi ambazo zimeamua kujitambua. Kama wewe hujajitambua utasifiwa kila siku. Ni sawa na mwanamke malaya kinachomfanya aendelee kuwa malaya ni kila mwanaume lzma amsifie. Sasa kama wewe siyo malaya kwa nini usifiwe ? Ni lini umesikia Marekani anasifia Maendeleo ya China au Urusi ? Kila siku ni kelele tu kama ambazo zimeanza kupigwa na hao unao waamini kuliko wewe unaeishi Tanzania na kushuhudia miradi mikubwa ya maendeleo ikifanyika. Miradi ya Umeme ndy chimbuko la Ustawi wa Viwanda hapa nchini na kamwe hatuwezi kuwa na maendeleo kama umeme wetu siyo wa uhakika.
Anayefahamu shida za familia zako na ni wewe mwenyewe kwa sababu ndy unayeamua kula nini wakati wa asubuhi, mchana na usiku. Mgeni hawezi kukwambia unaishi maisha magumu !!! Huo ni mtazamo wake akilinganisha na namna ambavyo yeye mzungu anaishi.
Hao mafukara, tukianza kuhesabu masikini Tanzania tutaambiwa tunatukanana bure.Hawo ndo mafukara au masikin
Ripot ya bank ya dunia imetoka
Ripot hiyo inaeleza kuwa tanzania ni miongon mwa nchi chache zenye mafukara wa kutupa
Bank hiyo inadai kuwa ndan ya mwaka huu mafukara wameongezeka na kufikia milion 13
Ripory inadai kuwa kas ya kuzalina imeongezeka kushinda kas ya uzalishaji, maisha ya watanzania walio wengi ni magumu kupindukia na mpaka sasa hakuna juhud zozote ambazo zimechukuliwa na selikal ili kupunguza wimbi la mafukara nchini
Kumbuka riport inasema mafukara ndo wameongezeka wala siyo masikin nahisi kuna tofaut kubwa sana kati ya masikin na mafukara, nahisi mafuraka ni wale walala hoi wa mwisho yaan wale masikin wa kutupa
Chanzo ni riport ya world bank na gazet la mwananchi
Mayala B