Benki ya Dunia: Mafukara waongezeka Tanzania

Benki ya Dunia: Mafukara waongezeka Tanzania

Mayala B

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2019
Posts
2,336
Reaction score
5,679
Ripot ya bank ya dunia imetoka

Ripot hiyo inaeleza kuwa tanzania ni miongon mwa nchi chache zenye mafukara wa kutupa

Bank hiyo inadai kuwa ndan ya mwaka huu mafukara wameongezeka na kufikia milion 13

Ripory inadai kuwa kas ya kuzalina imeongezeka kushinda kas ya uzalishaji, maisha ya watanzania walio wengi ni magumu kupindukia na mpaka sasa hakuna juhud zozote ambazo zimechukuliwa na selikal ili kupunguza wimbi la mafukara nchini


Kumbuka riport inasema mafukara ndo wameongezeka wala siyo masikin nahisi kuna tofaut kubwa sana kati ya masikin na mafukara, nahisi mafuraka ni wale walala hoi wa mwisho yaan wale masikin wa kutupa



Chanzo ni riport ya world bank na gazet la mwananchi


Mayala B
 
Masikini ni yule ambaye mahitaji yake muhimu hayapati kwa wakati, tofauti na fukara kwake mahitaji muhimu yanamjia kwa zali.
 
Fukara ni masikini zaidi. Kwa lugha ya kawaida "Masikini wa Kutupwa" au kwa jina jingine Hohehahe: Mtu ambaye hali yake ya maisha si nzuri, mtu asiye na mbele wala nyuma, masikini sana.
 
Ripot ya bank ya dunia imetoka

Ripot hiyo inaeleza kuwa tanzania ni miongon mwa nchi chache zenye mafukara wa kutupa

Bank hiyo inadai kuwa ndan ya mwaka huu mafukara wameongezeka na kufikia milion 13

Ripory inadai kuwa kas ya kuzalina imeongezeka kushinda kas ya uzalishaji, maisha ya watanzania walio wengi ni magumu kupindukia na mpaka sasa hakuna juhud zozote ambazo zimechukuliwa na selikal ili kupunguza wimbi la mafukara nchini


Kumbuka riport inasema mafukara ndo wameongezeka wala siyo masikin nahisi kuna tofaut kubwa sana kati ya masikin na mafukara, nahisi mafuraka ni wale walala hoi wa mwisho yaan wale masikin wa kutupa



Chanzo ni riport ya world bank na gazet la mwananchi


Mayala B
Ukweli mtupu !
 
Ripot ya bank ya dunia imetoka

Ripot hiyo inaeleza kuwa tanzania ni miongon mwa nchi chache zenye mafukara wa kutupa

Bank hiyo inadai kuwa ndan ya mwaka huu mafukara wameongezeka na kufikia milion 13

Ripory inadai kuwa kas ya kuzalina imeongezeka kushinda kas ya uzalishaji, maisha ya watanzania walio wengi ni magumu kupindukia na mpaka sasa hakuna juhud zozote ambazo zimechukuliwa na selikal ili kupunguza wimbi la mafukara nchini


Kumbuka riport inasema mafukara ndo wameongezeka wala siyo masikin nahisi kuna tofaut kubwa sana kati ya masikin na mafukara, nahisi mafuraka ni wale walala hoi wa mwisho yaan wale masikin wa kutupa



Chanzo ni riport ya world bank na gazet la mwananchi


Mayala B

Linchi la Mali Mali!

Jiwe aisee anatia huruma!
 
Ripot ya bank ya dunia imetoka

Ripot hiyo inaeleza kuwa tanzania ni miongon mwa nchi chache zenye mafukara wa kutupa

Bank hiyo inadai kuwa ndan ya mwaka huu mafukara wameongezeka na kufikia milion 13

Ripory inadai kuwa kas ya kuzalina imeongezeka kushinda kas ya uzalishaji, maisha ya watanzania walio wengi ni magumu kupindukia na mpaka sasa hakuna juhud zozote ambazo zimechukuliwa na selikal ili kupunguza wimbi la mafukara nchini


Kumbuka riport inasema mafukara ndo wameongezeka wala siyo masikin nahisi kuna tofaut kubwa sana kati ya masikin na mafukara, nahisi mafuraka ni wale walala hoi wa mwisho yaan wale masikin wa kutupa



Chanzo ni riport ya world bank na gazet la mwananchi


Mayala B
Ripoti za Benki ya Dunia ni ripoti za kibeberu na zenye lengo la kukandamiza nchi ambazo zimeamua kujitambua. Kama wewe hujajitambua utasifiwa kila siku. Ni sawa na mwanamke malaya kinachomfanya aendelee kuwa malaya ni kila mwanaume lzma amsifie. Sasa kama wewe siyo malaya kwa nini usifiwe ? Ni lini umesikia Marekani anasifia Maendeleo ya China au Urusi ? Kila siku ni kelele tu kama ambazo zimeanza kupigwa na hao unao waamini kuliko wewe unaeishi Tanzania na kushuhudia miradi mikubwa ya maendeleo ikifanyika. Miradi ya Umeme ndy chimbuko la Ustawi wa Viwanda hapa nchini na kamwe hatuwezi kuwa na maendeleo kama umeme wetu siyo wa uhakika.

Anayefahamu shida za familia zako na ni wewe mwenyewe kwa sababu ndy unayeamua kula nini wakati wa asubuhi, mchana na usiku. Mgeni hawezi kukwambia unaishi maisha magumu !!! Huo ni mtazamo wake akilinganisha na namna ambavyo yeye mzungu anaishi.
 
Where We Work
Image
The World Bank In Tanzania
The World Bank supports Tanzania’s growth through policy analysis, grants, and credits, with a focus on infrastructure and the private sector.

TANZANIA
OVERVIEW
Overview
CONTEXT
STRATEGY
RESULTS
PARTNERS
Tanzania has sustained relatively high economic growth over the last decade, averaging 6–7% a year. While the poverty rate in the country has declined, the absolute number of poor citizens has not because of the high population growth rate. The country's overall population is about 55 million (2016).

Political Context

In October 2015, John Pombe Magufuli was elected the fifth president of the United Republic of Tanzania. Magufuli’s Fifth-Phase Government has prioritized efforts to clampdown on corruption, improve public administration and manage public resources for improved social outcomes. In 2017, 72% of Tanzanians said corruption had decreased “somewhat” or “a lot” over the preceding year, compared to 13% in 2014. Similarly, 71% said the government is fighting corruption “fairly well” or “very well,” compared to 37% in 2014.

Economic Overview

Economic performance in 2018 was mixed, while inflation remains low and stable. The National Bureau of Statistics did not release any quarterly gross domestic product (GDP) data for 2018, pending completion of a rebasing exercise. However, available data suggest signs of softening of the growth momentum. Foreign direct investment has declined from high levels five years ago (about 5% of GDP in 2014), and export growth has stagnated. The current account deficit has increased to 4.4% of GDP in the year ending in December 2018, from 2.9% in the preceding 12 months. Non-performing loans have declined recently to 9.7% in September 2018 from 12.5% in September 2017 but remain almost double the 5% statutory threshold. On the positive side, inflation has remained low and stable at 3% in January 2019. Credit to the private sector has edged upward, reaching 4.9% in the 12 months ending September 2018. Gross official reserves remain high at $5 billion in December 2018, equivalent to 4.9 months of projected import of goods and services, and the shilling has remained relatively stable.

The fiscal deficit remains low, not counting payment arrears and delayed refunds of value-added tax. The 2017/18 budget deficit after grants of 1.3% of GDP suggests effective spending management but does not factor in payment arrears, with an estimated stock of over 3% of GDP. The government is paying down roughly TZS 1 trillion of verified arrears per fiscal year. The low deficit is the result of controlled recurrent expenditures and under execution of the development budget by more than 40%. Contributing factors include shortfalls in domestic revenue and external financing for large projects. Public debt is currently sustainable, but there is need for the Government to consider cost-effective financing options and manage associated risks to support public investments. The 2018/19 budget targets public investments to consume 45% of total spending, equivalent to 9.1% of GDP compared to 5.5 a year prior.

Social Context

Despite lower poverty rates, the number of poor people has stagnated due to high population growth. The national poverty rate had declined from 34.4% in 2007 to 28.2% in 2012 and then to 26.8% in 2016.
Last Updated: Apr 01, 2019
 
Ripoti za Benki ya Dunia ni ripoti za kibeberu na zenye lengo la kukandamiza nchi ambazo zimeamua kujitambua. Kama wewe hujajitambua utasifiwa kila siku. Ni sawa na mwanamke malaya kinachomfanya aendelee kuwa malaya ni kila mwanaume lzma amsifie. Sasa kama wewe siyo malaya kwa nini usifiwe ? Ni lini umesikia Marekani anasifia Maendeleo ya China au Urusi ? Kila siku ni kelele tu kama ambazo zimeanza kupigwa na hao unao waamini kuliko wewe unaeishi Tanzania na kushuhudia miradi mikubwa ya maendeleo ikifanyika. Miradi ya Umeme ndy chimbuko la Ustawi wa Viwanda hapa nchini na kamwe hatuwezi kuwa na maendeleo kama umeme wetu siyo wa uhakika.

Anayefahamu shida za familia zako na ni wewe mwenyewe kwa sababu ndy unayeamua kula nini wakati wa asubuhi, mchana na usiku. Mgeni hawezi kukwambia unaishi maisha magumu !!! Huo ni mtazamo wake akilinganisha na namna ambavyo yeye mzungu anaishi.
Mkuu vile viwanda 100 kila mkoa mmeshamaliza kuvijenga?
 
Shikamoo Beberu Akuna Wakukupinga Na Kushinda Chini Ya Jua Nimeona Afrika Zim ,Libya, Somalia, Sudan Kz, Na Sudan Ks ,Congo Drc,mashariki Ya Kati ,uraya Mashariki,asia, Na kiongozi Yeyote Akikujaji Wewe Basi Lazima Ayumbe.Na Biashara Ya Utumwa Ulianzisha Wewe Na UKazuia Wewe. Nimekubari Akuna Akuna Ni Mungu Pekee Aliyetuumba
 
Where We Work
Image
The World Bank In Tanzania
The World Bank supports Tanzania’s growth through policy analysis, grants, and credits, with a focus on infrastructure and the private sector.

TANZANIA
OVERVIEW
Overview
CONTEXT
STRATEGY
RESULTS
PARTNERS
Tanzania has sustained relatively high economic growth over the last decade, averaging 6–7% a year. While the poverty rate in the country has declined, the absolute number of poor citizens has not because of the high population growth rate. The country's overall population is about 55 million (2016).

Political Context

In October 2015, John Pombe Magufuli was elected the fifth president of the United Republic of Tanzania. Magufuli’s Fifth-Phase Government has prioritized efforts to clampdown on corruption, improve public administration and manage public resources for improved social outcomes. In 2017, 72% of Tanzanians said corruption had decreased “somewhat” or “a lot” over the preceding year, compared to 13% in 2014. Similarly, 71% said the government is fighting corruption “fairly well” or “very well,” compared to 37% in 2014.

Economic Overview

Economic performance in 2018 was mixed, while inflation remains low and stable. The National Bureau of Statistics did not release any quarterly gross domestic product (GDP) data for 2018, pending completion of a rebasing exercise. However, available data suggest signs of softening of the growth momentum. Foreign direct investment has declined from high levels five years ago (about 5% of GDP in 2014), and export growth has stagnated. The current account deficit has increased to 4.4% of GDP in the year ending in December 2018, from 2.9% in the preceding 12 months. Non-performing loans have declined recently to 9.7% in September 2018 from 12.5% in September 2017 but remain almost double the 5% statutory threshold. On the positive side, inflation has remained low and stable at 3% in January 2019. Credit to the private sector has edged upward, reaching 4.9% in the 12 months ending September 2018. Gross official reserves remain high at $5 billion in December 2018, equivalent to 4.9 months of projected import of goods and services, and the shilling has remained relatively stable.

The fiscal deficit remains low, not counting payment arrears and delayed refunds of value-added tax. The 2017/18 budget deficit after grants of 1.3% of GDP suggests effective spending management but does not factor in payment arrears, with an estimated stock of over 3% of GDP. The government is paying down roughly TZS 1 trillion of verified arrears per fiscal year. The low deficit is the result of controlled recurrent expenditures and under execution of the development budget by more than 40%. Contributing factors include shortfalls in domestic revenue and external financing for large projects. Public debt is currently sustainable, but there is need for the Government to consider cost-effective financing options and manage associated risks to support public investments. The 2018/19 budget targets public investments to consume 45% of total spending, equivalent to 9.1% of GDP compared to 5.5 a year prior.

Social Context

Despite lower poverty rates, the number of poor people has stagnated due to high population growth. The national poverty rate had declined from 34.4% in 2007 to 28.2% in 2012 and then to 26.8% in 2016.
Last Updated: Apr 01, 2019

Unaweza kujiuliza kuwa watu wengine husoma ripoti hizi kwa kutumia macho mangapi
 
Fukara ni masikini zaidi. Kwa lugha ya kawaida "Masikini wa Kutupwa" au kwa jina jingine Hohehahe: Mtu ambaye hali yake ya maisha si nzuri, mtu asiye na mbele wala nyuma, masikini sana.
Fukara siyo masikini!,Ufukara ni ukosefu wa Cash hata kama una asset kiasi kikubwa sn lakini huna Cash basi wewe ni Fukara!Kwa hivo ni kweli mafukara ni wengi kwa sb hakuna mzunguko mkubwa wa pesa kwenye biashara lakini mabank yakianza kukopesha biashara then hiyo namba inaweza kupungua tena!

My point here is like Ufukara waweza kumkumba tajiri yeyote...Lakini huo siyo umasikini!
 
Watanzania lazima tufanye maamuzi 2020.. huyu jamaa ameleta majanga.

Ndugu zangu huko vijijini wanalia..
 
Mi nadhani ni sawa hivi tulivyo, maana nchi ni masikini ingeshangaza kama raia wake ni matajiri. Huyu anafaa kwasababu ameleta uhalisia wa nchi na raia wake. Siyo mbaya, tunasema hafi mtu ila cha moto tutakiona.
Beggers, poor or pauper yote sawa tu. Umasikini ni umasikini.
 
Nilikua nasubiri kuona maskini wanasema hawa mabeberu, tatizo wamezoea umaskini kiasi kwamba hili hawalioni sababu wao walikua kwenye umaskini tayari hawajui kama umeongezeka au la.
 
Back
Top Bottom