Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yasitisha uteuzi wa Bw. Frank Nyabundege kama Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya TIB Corporate

Kutoa gawio haimaanishi inafanya vizuri.
Kufanya vizuri maana yake ni nini?
1. Kutenda sawa na mpango na bajeti
2. Kufikia malengo (goals and objectivies)
3. Kutengeneza faida kadri ya uwekezaji uliofanyika
....
....
Sasa kwa mfano, TIB ilitemewa kupata faida ya 20B ambayo ingewezesha kutoa gawio la 10B. Lakini baada ya utendaji mbovu uliosababishwa na utendaji hafifu, imepata 2B na hivyo kutoa gawio la 1B. Hapo utasemaje imefanya vizuri?
Ni mtazamo wangu tu lakini
Una hakika kwamba budgeted profit yao ilikuwa 20bn?
 
TIB Corporate in Sh842m profit after clearing losses

Una hakika kwamba budgeted profit yao ilikuwa 20bn?
Kuna kitu hatuambiwi. Sio kweli kwamba benki hii haina mwenendo mzuri. Nyabundege amepewa shukrani ya punda baada ya kufanya kazi nzuri. Hebu angalia performance yake:

It's not just flamboyant corporate expansion in terms of opening new branches

Lets look at TIB Corporate Bank's very impressive numbers

*NPLs (bad loans) halved to 5.4% from 11.1%*

*Working capital doubled from 206bn/- in 2015/16 to 409bn/- in 2018/19*

*Customer deposits tripled from 110bn/- to 338bn/-*

*The bank declared a 1.3bn/- profit in 2018 from 5.3bn/- loss in 2017*

Chanzo: https://www.dailynews.co.tz/news/2019-06-255d11ebfaa03a4.aspx
 
Frank Nyamundege ana vyeti na namjua vizuri
Ana Advanced Diploma in Accountancy ( IFM)
Ana MBA( corporate mgt)- Mzumbe
Amefanya kazi KBC kwa mafanikio
Ni kijana mchapakazi hapa kuna ka ajali tu na fitna ndogo ndogo ila ni mtendaji mzuri
 
Frank Nyamundege ana vyeti na namjua vizuri
Ana Advanced Diploma in Accountancy ( IFM)
Ana MBA( corporate mgt)- Mzumbe
Amefanya kazi KBC kwa mafanikio
Ni kijana mchapakazi hapa kuna ka ajali tu na fitna ndogo ndogo ila ni mtendaji mzuri
Hakika Nyabu ana vyeti vya kutosha na jina lake ni hilo hilo!
 
Wala syo kufilisika tu bali kuna msukuma mwenzetu ni lazima achukue nafasi.
Ni utaratibu tu palipo na msukuma apande cheo maana ni zamu yetu
Naona unakomalia neno Msukuma bila kujua baadhi yetu tunafahamu mwenendo wa siasa za sasa. KUna kipindi Upinzani ulilaumu sana CCM kuwazushia mambo ya Kikabila na kidini. Lakini, naona wao pia wanaanza kuegemea kutukana wasukuma. Hii itawagharimu bila kujitambua.

Nafahamu laana ya kuwalaani wasukuma,itakavyovuma na kuanza kuwameza. Hata wasiohusika watawageuka.
 
Naona unakomalia neno Msukuma bila kujua baadhi yetu tunafahamu mwenendo wa siasa za sasa. KUna kipindi Upinzani ulilaumu sana CCM kuwazushia mambo ya Kikabila na kidini. Lakini, naona wao pia wanaanza kuegemea kutukana wasukuma. Hii itawagharimu bila kujitambua.

Nafahamu laana ya kuwalaani wasukuma,itakavyovuma na kuanza kuwameza. Hata wasiohusika watawageuka.

Mkuu hata wakwere walilaumiwa ila wakaziba masikio, kilichowakuta baada ya jk kuondoka kiko wazi, sasa kitakachowakuta sisi wasukuma ni janga, maana iko wazi, huwezi kulipiza kisasi halafu aje mwingine acheke kama zuzu.
Wa kwanza na narudia kusema ni Dotto James.wa pili makonda na kichaa musiba.Msidhani watu hawaoni na usidhani sote tu wapumbavu,
Wapumbavu ni wateule wa mtukufu pekee na wameridhia,
Precedence inayojengeka haitawaacha salama, huwezi tuhumu wengine ETI wameharibu nchi wakati wewe unafuja fedha za watanzania watu wanakuangalia tu kwa kuwa una miguvu, ila kzazi chako kitaumia.
 
Kwani uteuzi wa mkurugenzi wa TIB unafanywa na BOT?

Ni yule kijana mdogo mdogo hivi?

Aisee.
Sheria ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya 2006 section 33
(2) Where, in the opinion of the Bank, a bank or financial institution isconducting its business in an unlawful, unsound manner or is otherwisein violation of any law or regulation, the Bank may, in addition to anyother course of action open to it-

(e)initiate a legally binding removal or suspension order requiringany director or officer or other person or persons in the positionof management of a bank or financial institution to ceaseparticipating in the affairs of the bank or financial institutionon either a temporary or permanent basis; an
 
Mkuu hata wakwere walilaumiwa ila wakaziba masikio, kilichowakuta baada ya jk kuondoka kiko wazi, sasa kitakachowakuta sisi wasukuma ni janga, maana iko wazi, huwezi kulipiza kisasi halafu aje mwingine acheke kama zuzu.
Wa kwanza na narudia kusema ni Dotto James.wa pili makonda na kichaa musiba.Msidhani watu hawaoni na usidhani sote tu wapumbavu,
Wapumbavu ni wateule wa mtukufu pekee na wameridhia,
Precedence inayojengeka haitawaacha salama, huwezi tuhumu wengine ETI wameharibu nchi wakati wewe unafuja fedha za watanzania watu wanakuangalia tu kwa kuwa una miguvu, ila kzazi chako kitaumia.
Sijui kama ulinielewa! Ubaguzi wa aina yoyote ile ni tatizo na nguzo ikiondoka lazima muumie. Nilionya juu ya hao unowaita wasukuma. Unajenga uadui bila sababu. Baadhi unaowaita wasukuma, siyo wasukuma. Makundi unayojumuisha kuwaita wasukuma wakikusanyika na kukugeuka, hutadumu popote!

Btw. Kuna watu nchi hii wamegoma kukubali historia yao chafu ya ubaguzi. Kuna kipindi waziri wa fedha, msajili wa Hazina, Kamishna wa TRA, mkaguzi mkuu wa mahesabu, wote walikuwa kabila moja! Unasemaje hapo? Ukiwauliza wanakwambia wamesoma saaaana! Kama ni sababu, kwa nini ulalamike?
 
Sijui kama ulinielewa! Ubaguzi wa aina yoyote ile ni tatizo na nguzo ikiondoka lazima muumie. Nilionya juu ya hao unowaita wasukuma. Unajenga uadui bila sababu. Baadhi unaowaita wasukuma, siyo wasukuma. Makundi unayojumuisha kuwaita wasukuma wakikusanyika na kukugeuka, hutadumu popote!

Btw. Kuna watu nchi hii wamegoma kukubali historia yao chafu ya ubaguzi. Kuna kipindi waziri wa fedha, msajili wa Hazina, Kamishna wa TRA, mkaguzi mkuu wa mahesabu, wote walikuwa kabila moja! Unasemaje hapo? Ukiwauliza wanakwambia wamesoma saaaana! Kama ni sababu, kwa nini ulalamike?

Waliteuliwa na mkubwa wao ambaye ni kabila lao!!!!??? Maana kama ni wachanga nchi haijawahi kuwa na Rais,waziri mkuu wala makamu wa rais mchaga, huyo alowateua alitumia vigezo gani!!???
 
Sijui kama ulinielewa! Ubaguzi wa aina yoyote ile ni tatizo na nguzo ikiondoka lazima muumie. Nilionya juu ya hao unowaita wasukuma. Unajenga uadui bila sababu. Baadhi unaowaita wasukuma, siyo wasukuma. Makundi unayojumuisha kuwaita wasukuma wakikusanyika na kukugeuka, hutadumu popote!

Btw. Kuna watu nchi hii wamegoma kukubali historia yao chafu ya ubaguzi. Kuna kipindi waziri wa fedha, msajili wa Hazina, Kamishna wa TRA, mkaguzi mkuu wa mahesabu, wote walikuwa kabila moja! Unasemaje hapo? Ukiwauliza wanakwambia wamesoma saaaana! Kama ni sababu, kwa nini ulalamike?

Hata hao ulowataja wawili wameshastakiwa na mmojawao yupo lupango,sasa hii precedence lazima DOTTO JAMES nae aonje joto la jiwe kwa ku mis appropriate goverment funds, kama waziri alienda lupango why not DOTTO
 
Back
Top Bottom