Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yasitisha uteuzi wa Bw. Frank Nyabundege kama Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya TIB Corporate

May, in additional to any other other course of action..................

mpaka hapo wana uhuru wakufanya chochote, wakuifanya hata bank itoe gawio bila wao kupinga
 
Waliteuliwa na mkubwa wao ambaye ni kabila lao!!!!??? Maana kama ni wachanga nchi haijawahi kuwa na Rais,waziri mkuu wala makamu wa rais mchaga, huyo alowateua alitumia vigezo gani!!???
Tatizo ni rais? Unataka awe kabila gani sasa?
Vipi hiyo safu niliyokupangia, inakupa picha gani? Hebu tusaidiane kuelewa ilikuwaje watu hao wote wakawa kabila moja? Yaani: Waziri, Msajili wa hazina, kamishna wa TRA na Mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali. Kabila moja, serikali moja.
 
Tatizo ni rais? Unataka awe kabila gani sasa?
Vipi hiyo safu niliyokupangia, inakupa picha gani? Hebu tusaidiane kuelewa ilikuwaje watu hao wote wakawa kabila moja? Yaani: Waziri, Msajili wa hazina, kamishna wa TRA na Mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali. Kabila moja, serikali moja.
Rais ndo mteule, kama akiamua kuteua binamu,shangazi mjomba nk hakuna wa kumzuia, ila ajue tu kuwa ataefuata akifanya vile asiulizwe,
Kuhusu hao wateule toka kabila moja ambao huteuliwa na rais je, rais alowateua alikuwa kabila lao!!!?kama ndyo basi nae mkabila kama hapana alitumia vigezo gani kuwateua!!!!!
Tanzania, narudia tena haijawahi kitoa rais,waziri mkuu au makamu wa rais mchaga, Je ni nani alowapa huo upendeleo!!!!!! Kwa faida ya nani!!!!
Kama baadhi yao wako magerezani kwa mambo waliyoyafanya wakiwa madarakani vipi 2026 Dotto ataponea wapi
 
Tatizo ni rais? Unataka awe kabila gani sasa?
Vipi hiyo safu niliyokupangia, inakupa picha gani? Hebu tusaidiane kuelewa ilikuwaje watu hao wote wakawa kabila moja? Yaani: Waziri, Msajili wa hazina, kamishna wa TRA na Mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali. Kabila moja, serikali moja.

Teuzi zile zilfanywa na nani vile?
 
I too deamnd to be told the truth. Hiyo ilikuwa ni June 2019. Ina maana hata PM alidanganywa ama alidanganya kuhusu performance ya TIB?
Kuna kitu hatuambiwi. Sio kweli kwamba benki hii haina mwenendo mzuri. Nyabundege amepewa shukrani ya punda baada ya kufanya kazi nzuri. Hebu angalia performance yake:

It's not just flamboyant corporate expansion in terms of opening new branches

Lets look at TIB Corporate Bank's very impressive numbers

*NPLs (bad loans) halved to 5.4% from 11.1%*

*Working capital doubled from 206bn/- in 2015/16 to 409bn/- in 2018/19*

*Customer deposits tripled from 110bn/- to 338bn/-*

*The bank declared a 1.3bn/- profit in 2018 from 5.3bn/- loss in 2017*

Chanzo: https://www.dailynews.co.tz/news/2019-06-255d11ebfaa03a4.aspx
 
Yan BOT ni kama Kabudi tu, unaandikaje barua isiyokuwa na paragraph spacing? Awamu ya Jiwe hovyo tu
Tujikite kwenye muktadha ila paragraph ni minor errors ambazo kwa binadamu ni vitu vya kawaida tu ila kilichomo si kimeeleweka?
 
Back
Top Bottom