nbc
1. Kwanza ina mtandao mkubwa wa atm kuliko zote- tembelea miji yote mikubwa na midogo utathibitisha
2. Ina mtandao mkubwa wa matawi nchi nzima- sio benki hizi za dar, mwanza na arusha tu achana nazo
3. Ina debit master card (atm card) inayoingia atm yoyote duniani iliyo na mastercard
4. Mastercard yake inatumika kufanya malipo kwenya maduka, supermarkets n.k
5. Ni global bank ina link na benki kubwa za sauz na uk- so international transaction ni kama kutoa fedha mfuko wa kulia na kuziweka mfuko wa kushoto
6. Baadae nitakutajia faida nyingine nyingi za kubenki na nbc