Wapo watu wengi tu wazuri wa kuliongoza Taifa letu. Why Ben again? Kashfa nyingi zilizoibuliwa kipindi cha JK zilifanyika kipindi cha Ben.
Umesahau UKAPA kijana, au ulikuwa mdogo? Kama issue ni ukristo, mbona wakristo wapo wengi tu kwa nini yeye? halafu alishauza mali zote za umma, akirudi atauza watu akianza na wewe!Hata hivyo maisha yalikuwa yalikuwa very cheap kiasi kwamba hatukutambua kuwa tunaibiwa, Nafikiri wizi na usanii haukuwa kama ilivyo sasa.
Ikiwezekana Benjamini Mkapa agombee tena 2015 itakuwa safi sana kwa jinsi hali ilivyo, Nawaza tu!
Ikiwezekana Benjamini Mkapa agombee tena 2015 itakuwa safi sana kwa jinsi hali ilivyo, Nawaza tu!